Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

Wasiwasi mpya wa upungufu wa unga wa mahindi umeibuka nchini Kenya baada ya Tanzania ambayo ni msafirishaji mkubwa wa mahindi nchini humo kufungia vibali vya kuuza nafaka hiyo nje ya mipaka yake.
Kinana anasemaje
 
Wapi nimesema wapate hasara? Nilikujibu kuwa hao sio wakulima Bali wafanyabiashara ndio ukaanza kuleta pumba zako, alafu Sasa hivi unageuka tena
Kwahiyo wafanya biashara ndio wanastahiki kupata hasara? Kwamba ingekuwa ishu kama ingekuwa ni wakulima, ila sababu si wakulima basi its okay.., hiyo ndio logical implication ya response yako katika mazingira husika. Milango ifunguliwe regardless wanaoweza kupata hasara ni wakulima au wafanyabiashara, hiyo ndio hoja ya msingi.
 
We jamaa hii id yako nishaijua, huwa nasoma hoja zako mwanzo tu nacheka halafu siendelei kutaka kujua umeandika nn.....Una tatizo la kuanza na Unnecessarily harsh tones.
Nilijua akili ya kuendelea zaidi ya hapo huna. Ni sawa na uanzishe hotel mbugani kwa ajili ya wazungu, wakati watalii wanaweza kuja waarabu au wahindi wakalipa same price.
 
Kwahiyo wafanya biashara ndio wanastahiki kupata hasara? Kwamba ingekuwa ishu kama ingekuwa ni wakulima, ila sababu si wakulima basi its okay.., hiyo ndio logical implication ya response yako katika mazingira husika. Milango ifunguliwe regardless wanaoweza kupata hasara ni wakulima au wafanyabiashara, hiyo ndio hoja ya msingi.
Wewe una matatizo ya akili, wapi nimesema wafanyabiashara wanastahiki kupataa hasara?

Nilichikueleza ni kuwa hakuna mkulima anayeweza kupeleka mahindi yake Kenya. Mkulima anauza bei ya soko ilivyo kwa muda husika, atayenunua Kama atayaacha hapa au atapeleka Kenya hiyo ni juu yake
 
Huku kilindi na handeni wakivuna tu wanauza gunia elf30 mpaka 25 unaweza pata alafu baada ya hapo ndoa zinakua nyingi watu wanaongeza wake tu.
.
Saiv wachaga wanauza unga kg1 1500 wanawauzia wakulima
Hapa nilipo kilo 1 ya sembe Tshs. 1,700

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Nilijua akili ya kuendelea zaidi ya hapo huna. Ni sawa na uanzishe hotel mbugani kwa ajili ya wazungu, wakati watalii wanaweza kuja waarabu au wahindi wakalipa same price.
Ubongo wako una condition ya kujudge literary ya binadamu wengine wakati wote. Ukisoma hoja all you think is " huyu mtu ni mjinga".
 
Mimi niliandika hadi humu JF watu wakashupaza shingo, magufuli hakua mjinga kua ana calculate na kufunga mipaka maana usalama wa kwanza wa nchi ni chakula na ukumbuke serikali zetu tia maji tia maji uwezo wa kuimport vyakula hawana wamekalia maneno na hifadhi ya chakula hawanunui ya kutosha
Je Ukraine nao wagome kuwaletea ngano kwa sababu wako vitani?? Acheni sababu zenu za kindezi.. Niko huko vijijini Tanganyika wakulima wengi tuu wamehifadhi mazao yao ya chakula... Wanauza ziada..
 
Ubongo wako una condition ya kujudge literary ya binadamu wengine wakati wote. Ukisoma hoja all you think is " huyu mtu ni mjinga".
Ujinga ni kama pembe la ng'ombe, haujifichi.
 
Mimi niliandika hadi humu JF watu wakashupaza shingo, magufuli hakua mjinga kua ana calculate na kufunga mipaka maana usalama wa kwanza wa nchi ni chakula na ukumbuke serikali zetu tia maji tia maji uwezo wa kuimport vyakula hawana wamekalia maneno na hifadhi ya chakula hawanunui ya kutosha
Nakumbuka ule uzi na vilaza wa chama wakaja kupinga eti tunafungua nchi
 
Upuuzi mtupu. Mimi nimeplan kuuza yangu niliyolima ifikapo december na january na nitauza popote ninapotaka. Hakuna aliyenisaidia kulima.
Mkuu mimi ni mkulima.. Kwa zaidi ya miaka 7 ni mwaka huu tuu ndiyo nimeweza kuuza mahindi kwa bei ya sh 120,000 yakiwa shambani, yaani nimevuna na kupukuchua kwa mashine Mteja anakuja shambani unapima debe 7 kwenye gunia anakupa laki moja na elfu ishirini hapo hapo. Nimeuza nusu ya mzigo na mengine yako stoo. Kiukweli hata machungu ya kununua mbolea mfuko kwa sh 120,000 yameisha kabisa. Huyu Waziri Bashe Mungu amlinde na Mama aendelee kumuacha kwenye hiyo wizara maana kilimo sasa kitakuwa ajira inayolipa kama ajira nyingine tuu. Mpunga pia Nimeuza bei nzuri sanaaaaa, kiujumla wakulima wengi sana wako vizuri kimapato, wameweka akiba ya chakula (ni mkulima asiyejitambua tuu ambaye atauza mavuno yootee aliyopata na kuitesa familia yake kwa njaa. Na kumbuka mkulima kama huyu hana tofauti na mfanyakazi ambaye akipokea mshahara wake anaupeleka Bar au kwa mchepuko na kuacha familia yake ikiteseka).
 
Ndiyo maana nafaka zilipanda bei May-July. Ila kwa sasa bei inaanza kushuka.

Suluhisho kwa TANZANIA ni kuzalisha mahindi ya kutosha, Serikali iboreshe skimu za umwagiliaji na upatikanaji wa zana za Kilimo, mbolea na dawa.

Hapa Serikali inawadidimiza wakulima, Kila mwaka wanalima kwa hasara, ni lini watapata faida? Muda kama huu ndiyo neema kwa mkulima!
Hapa Tanzania [emoji1241] uzalishaji wa mazao utaongeza endapo tuu tuna soko la kutosha na bei nzuri kama sasa, mengine ni mbwembwe tuuu. Yaani mwezi uliopita nilikuwa Mpanda maeneo ya jirani na Railways station nikakuta semi kibao za wafanyabiashara kutoka Kenya [emoji1139] wananunua mahindi sh elfu 16 mpaka elfu 18 kwa debe. Hivi mtu akijua kwamba akivuna gunia 200 atapata milioni zaidi ya 25 (ndani ya kipindi cha miezi 4) nani ataacha kulima mkuu?
 
Hakuna mkulima mwenye stock kipindi hiki, kati ya mimi na wewe unahisi nani mnunuzi wa mahindi boya wewe, mahindi ya mwisho tumenunua kilindi na hapo ni baada ya kutoka kigoma na sumbawanga hadi matai, na mpanda kwa mkulima peleka hata 90 elfu ya tanzania kwa sasa hawana mahindi, unapeleka gari tani 30 unapata tani 5 kwa wiki mbili unasema nini fuvkyou
Acha kudanganya watu hapa, wakulima wengi wenye akili wameweka akiba ya chakula kwa sababu wana familia zao na wanajua hata ikitokea njaa nchi nzima hakuna mtu wa kuwapa chakula cha bure (nitajie mwaka ambao kulitokea njaa na serikali ikagawa chakula bure nchi nzima? Unakumbuka JPM aliwaambiaje kule Kagera baada ya kutokea tetemeko la ardhi??). Of course wapo wakulima wachache malofa, kama tuu ilivyo kwa wafanyakazi au wafanyabiashara, ambao watauza mazao yote na kwenda kulewa au kuhonga, kama ambavyo mfanyakazi anapokea mshahara wake na badala ya kununua mahitaji yake ya familia ya mwezi mzima, anaamua kuutapanya mshahara wake wote na kutesa familia. Nenda huko Katavi vijijini ndani ndani utakuta vihenge vimejaa mahindi, mipunga mpaka viazi vilivyokaushwa.
 
Wewe sio mkulima wala mfanyabiashara ni mtu wa hovyohovyo tu
Sasa kama huna pesa ya kununua mchele mzuri Supa kwa elfu 3 si ukachemshe hata mihogo au viazi vitamu fungu ni 500?? [emoji12] [emoji12] Acheni kulia lia hapa, kama vipi msimu ujao kalime na wewe... Wewe na Waziri Bashe na baraza zima la mawaziri nani kwenye akili na ambaye ni well informed??
 
Ungekua umefika ngome za mahindi kama songea, madaba, namtumbo, mbinga, mpanda yote, kilindi, kigoma kasulu kule makere na kagera nkanda, manyara yote hadi kateshi huko, mbeya hasa ileje isongole ambapo hua tunazoa mahindi usingeharisha hapa kwani mahindi hakuna na mpunga ni kidogo ndio maana kilo moja ya mchele mtwara kwa sasa ni 4000 tsh, biashara tunapenda lakini sio kwa mwaka huu mavuno hayakua mazuri kulingana na mvua na mvua mwaka huu ni kidogo soko la ndani pekee linatosha kumpa mtu faida
Sasa ukiisha na bei kuwa hata 5000 wewe inakuuma nini hasa? Kuna ambaye amekuja kwako kukuomba chakula? Kama mimi nimevuna magunia 300 nikaona sasa bei ni nzuri nikauza magunia 250 na kubakiza akiba ya gunia 50 nyumbani kwangu wewe utaweza kujua kweli??
 
Wasiwasi mpya wa upungufu wa unga wa mahindi umeibuka nchini Kenya baada ya Tanzania ambayo ni msafirishaji mkubwa wa mahindi nchini humo kufungia vibali vya kuuza nafaka hiyo nje ya mipaka yake.

Hatua hii ni katika kujilinda dhidi ya baa la njaa kwa kulinda hazina ya ndani ya akiba ya chakula kufuatia mavuno duni na ukame.

Takwimu kutoka kwa Baraza la Nafaka la Afrika Mashariki zinaonyesha uagizaji kutoka Tanzania uliongezeka karibu mara 5, mwaka 2021 na kufikia tani 469,474 kutoka tani 98,000 mwaka 2020.

.....................................

Tanzania has frozen issuance of new maize export permits in what could worsen the shortage of the product that has driven prices of flour to historic highs.

Several millers and animal feed manufacturers told Business Daily the neighbouring country stopped issuing permits last week, tightening the supply of the staple locally.

“We have been unable to get maize from Tanzania since last week after the country stopped issuing export permits to traders with the cutting off of stocks from Tanzania expected to push up the cost of flour,” said Ken Nyaga, the chairperson of the United Grain Millers Association.

John Gathogo, publicity secretary of the Association of Kenya Feed Manufacturers, said their members are unable to get stocks from Tanzania as well following the move that has seen processors cut down on production.

Millers are issued with a one-off permit for grain export from Tanzania and they need to apply for a new one every time they intend to ship maize out of that country.

Tanzania has for the last two years become a key source market for maize to bridge deficits especially after the two countries mended their trade ties with the change of regime last year following the death of former President John Magufuli.

Data from the Eastern Africa Grain Council shows imports from Tanzania nearly grew five-fold last year to 469,474 tonnes from 98,000 tonnes in 2020. The development has left processors jostling for stocks that are available locally and a few imports coming in from Zambia. Tanzania restricts exports to protect its local stock following poor harvests.

The Kenya Bureau of Standards (Kebs) said the maize coming in through the Namanga border has significantly declined, confirming that imports into the country at that point is originating from Zambia.

“We have witnessed a significant decline in maize coming in from Tanzania; on average we are now getting 10 trucks from a high of 80 trucks previously,” a Kebs official at the Namanga border said.

The move leaves Zambia as the only key source market for the produce to bridge the local deficit as most stocks from Uganda— also a key source — is now heading to South Sudan owing to high prices in Juba.

The shortage occasioned by Tanzanian ban will push up the price of maize locally to Sh5,900 for a 90 kilogramme bag from Sh5,400, according to millers.

Source: Daily Business
Japo wamechelewa lakini walau itasaidia
 
Back
Top Bottom