Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

Acha ujinga wakulima wanaenda kupata hasara

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakuna mkulima mwenye stock kipindi hiki, kati ya mimi na wewe unahisi nani mnunuzi wa mahindi boya wewe, mahindi ya mwisho tumenunua kilindi na hapo ni baada ya kutoka kigoma na sumbawanga hadi matai, na mpanda kwa mkulima peleka hata 90 elfu ya tanzania kwa sasa hawana mahindi, unapeleka gari tani 30 unapata tani 5 kwa wiki mbili unasema nini fuvkyou
 
Hakuna mkulima mwenye stock kipindi hiki, kati ya mimi na wewe unahisi nani mnunuzi wa mahindi boya wewe, mahindi ya mwisho tumenunua kilindi na hapo ni baada ya kutoka kigoma na sumbawanga hadi matai, na mpanda kwa mkulima peleka hata 90 elfu ya tanzania kwa sasa hawana mahindi, unapeleka gari tani 30 unapata tani 5 kwa wiki mbili unasema nini fuvkyou
Wewe ni idiot.. mimi nimelima elbadaw kule hanang na nimehifadhi ninataka kuuza kuanzia december.

Serikali iache upumbavu. Wanalipana posho na kupandisha mishahara yao lakini hawataki wakulima tuuze kwa faida kwenye masoko mazuri.
 
Yaani Mimi nihangaike kulima,mbolea bei juu,madawa ya kukuzia na kupandia bei juu na mnanifungia mipaka ili niuze kwa hasara?Hii nchi imekuwa ya kijinga sana

Ungekua umefika ngome za mahindi kama songea, madaba, namtumbo, mbinga, mpanda yote, kilindi, kigoma kasulu kule makere na kagera nkanda, manyara yote hadi kateshi huko, mbeya hasa ileje isongole ambapo hua tunazoa mahindi usingeharisha hapa kwani mahindi hakuna na mpunga ni kidogo ndio maana kilo moja ya mchele mtwara kwa sasa ni 4000 tsh, biashara tunapenda lakini sio kwa mwaka huu mavuno hayakua mazuri kulingana na mvua na mvua mwaka huu ni kidogo soko la ndani pekee linatosha kumpa mtu faida
 
Wasiwasi mpya wa upungufu wa unga wa mahindi umeibuka nchini Kenya baada ya Tanzania ambayo ni msafirishaji mkubwa wa mahindi nchini humo kufungia vibali vya kuuza nafaka hiyo nje ya mipaka yake.

Hatua hii ni katika kujilinda dhidi ya baa la njaa kwa kulinda hazina ya ndani ya akiba ya chakula kufuatia mavuno duni na ukame.

Takwimu kutoka kwa Baraza la Nafaka la Afrika Mashariki zinaonyesha uagizaji kutoka Tanzania uliongezeka karibu mara 5, mwaka 2021 na kufikia tani 469,474 kutoka tani 98,000 mwaka 2020.

.....................................

Tanzania has frozen issuance of new maize export permits in what could worsen the shortage of the product that has driven prices of flour to historic highs.

Several millers and animal feed manufacturers told Business Daily the neighbouring country stopped issuing permits last week, tightening the supply of the staple locally.

“We have been unable to get maize from Tanzania since last week after the country stopped issuing export permits to traders with the cutting off of stocks from Tanzania expected to push up the cost of flour,” said Ken Nyaga, the chairperson of the United Grain Millers Association.

John Gathogo, publicity secretary of the Association of Kenya Feed Manufacturers, said their members are unable to get stocks from Tanzania as well following the move that has seen processors cut down on production.

Millers are issued with a one-off permit for grain export from Tanzania and they need to apply for a new one every time they intend to ship maize out of that country.

Tanzania has for the last two years become a key source market for maize to bridge deficits especially after the two countries mended their trade ties with the change of regime last year following the death of former President John Magufuli.

Data from the Eastern Africa Grain Council shows imports from Tanzania nearly grew five-fold last year to 469,474 tonnes from 98,000 tonnes in 2020. The development has left processors jostling for stocks that are available locally and a few imports coming in from Zambia. Tanzania restricts exports to protect its local stock following poor harvests.

The Kenya Bureau of Standards (Kebs) said the maize coming in through the Namanga border has significantly declined, confirming that imports into the country at that point is originating from Zambia.

“We have witnessed a significant decline in maize coming in from Tanzania; on average we are now getting 10 trucks from a high of 80 trucks previously,” a Kebs official at the Namanga border said.

The move leaves Zambia as the only key source market for the produce to bridge the local deficit as most stocks from Uganda— also a key source — is now heading to South Sudan owing to high prices in Juba.

The shortage occasioned by Tanzanian ban will push up the price of maize locally to Sh5,900 for a 90 kilogramme bag from Sh5,400, according to millers.

Source: Daily Business
Ngoja tuweke stoo hatuuzi mahindi, Kila Moja alime yake
 
Hakuna mkulima mwenye stock kipindi hiki, kati ya mimi na wewe unahisi nani mnunuzi wa mahindi boya wewe, mahindi ya mwisho tumenunua kilindi na hapo ni baada ya kutoka kigoma na sumbawanga hadi matai, na mpanda kwa mkulima peleka hata 90 elfu ya tanzania kwa sasa hawana mahindi, unapeleka gari tani 30 unapata tani 5 kwa wiki mbili unasema nini fuvkyou
Huku kilindi na handeni wakivuna tu wanauza gunia elf30 mpaka 25 unaweza pata alafu baada ya hapo ndoa zinakua nyingi watu wanaongeza wake tu.
.
Saiv wachaga wanauza unga kg1 1500 wanawauzia wakulima
 
Hii ni kumyanyasa mkulima,

Halafu kenya walivyo wajanja wanasaga unga na kupack vizuri wanaprint made in Kenya wanauza congo bei mara kumi
 
Wasiwasi mpya wa upungufu wa unga wa mahindi umeibuka nchini Kenya baada ya Tanzania ambayo ni msafirishaji mkubwa wa mahindi nchini humo kufungia vibali vya kuuza nafaka hiyo nje ya mipaka yake.

Hatua hii ni katika kujilinda dhidi ya baa la njaa kwa kulinda hazina ya ndani ya akiba ya chakula kufuatia mavuno duni na ukame.

Takwimu kutoka kwa Baraza la Nafaka la Afrika Mashariki zinaonyesha uagizaji kutoka Tanzania uliongezeka karibu mara 5, mwaka 2021 na kufikia tani 469,474 kutoka tani 98,000 mwaka 2020.

.....................................

Tanzania has frozen issuance of new maize export permits in what could worsen the shortage of the product that has driven prices of flour to historic highs.

Several millers and animal feed manufacturers told Business Daily the neighbouring country stopped issuing permits last week, tightening the supply of the staple locally.

“We have been unable to get maize from Tanzania since last week after the country stopped issuing export permits to traders with the cutting off of stocks from Tanzania expected to push up the cost of flour,” said Ken Nyaga, the chairperson of the United Grain Millers Association.

John Gathogo, publicity secretary of the Association of Kenya Feed Manufacturers, said their members are unable to get stocks from Tanzania as well following the move that has seen processors cut down on production.

Millers are issued with a one-off permit for grain export from Tanzania and they need to apply for a new one every time they intend to ship maize out of that country.

Tanzania has for the last two years become a key source market for maize to bridge deficits especially after the two countries mended their trade ties with the change of regime last year following the death of former President John Magufuli.

Data from the Eastern Africa Grain Council shows imports from Tanzania nearly grew five-fold last year to 469,474 tonnes from 98,000 tonnes in 2020. The development has left processors jostling for stocks that are available locally and a few imports coming in from Zambia. Tanzania restricts exports to protect its local stock following poor harvests.

The Kenya Bureau of Standards (Kebs) said the maize coming in through the Namanga border has significantly declined, confirming that imports into the country at that point is originating from Zambia.

“We have witnessed a significant decline in maize coming in from Tanzania; on average we are now getting 10 trucks from a high of 80 trucks previously,” a Kebs official at the Namanga border said.

The move leaves Zambia as the only key source market for the produce to bridge the local deficit as most stocks from Uganda— also a key source — is now heading to South Sudan owing to high prices in Juba.

The shortage occasioned by Tanzanian ban will push up the price of maize locally to Sh5,900 for a 90 kilogramme bag from Sh5,400, according to millers.

Source: Daily Business
Hii kitu niliandika humu watu wakaja juu eti ni mda wa mkulima kunufaika. Hakuna mkulima anayepeleka mahindi Kenya ni wafanya Biashara tu ndo wenye uwezo huo tu. Nilipenyezewa za ndani kua mama tozo ameambiwa bohari kuu ya chakula ya serikali Haina chakula.

Ndo kashituka akaagiza na kuzuia kimya kimya tangu wa 7 katikati. Ila Leo ndo wameamua kutangaza. Usalama wa nchi yoyote Ile hua ni utoshelevu wa chakula. Na Bahat mbaya viongozi wetu wa ccm Hilo hawalijui wanawazia matumbo Yao tu
 
Wale madalali na walanguzi wa mazao wanaojiita wakulima lazima povu liwatoke hapa.
 
Back
Top Bottom