Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Kwa hiyo hakuna shida yoyote siyo?Vikwazo vya raia wa Tz kuingia Marekani so vikwazo vya kiuchumi.
Go back and read again
Nakumbuka hata Zimbabwe walianza kumwekea Vikwazo Mugabe na watu wake wa karibu kisha wakaendelea kuviboresha kadri muda ulivyokuwa ukisonga.
Lakini hamna tatizo wawawekee tu wataenda Singapore au Dubai kama Mugabe