Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

Tanzania yatajwa kuwa miongoni mwa nchi 7 zinazotarajiwa kuwekewa vikwazo vya kuingia Marekani

wanadhan tukiwekewa vikwazo watakaoteseka ni viongozi? Zimbabwe imeyumba lkn Mugabe hakuwahi kulala njaa au kukosa starehe mpaka alipofariki akiwa matibabun huko ughaibuni, wanaosaga meno ni raia wa kawaida kabisaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uchafu kama huu ndio maana Jf inaonekana inatumiwa kuihujumu nchi, yaani mtu kala miharagwe yake huko kaja kuhara humu jukwaan badala ya kupigwa ban au uzi ufutwe utashangaa unaachwa, Melo una lakujibu kuhusiana na huu upuuzi, hiv huyu kondoo anadhan tukiwekewa vikwazo watakaoteseka ni viongozi? Zimbabwe imeyumba lkn Mugabe hakuwahi kulala njaa au kukosa starehe mpaka alipofariki akiwa matibabun huko ughaibuni, wanaosaga meno ni raia wa kawaida kabisaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wasage meno ili akili ziwarudie, sidhani kama watakuja chagua tena mtu kama jiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maskini Tanzania watu wake wanazidi kuisakama serikali yao iliyoitwa dhaifu awamu ya NNE.

Serikali ya awamu ya TANO imeuondoa udhaifu uliokuwepo kwa kuleta maendeleo yanayoonekana,lakini watu wake wachache bado hawaridhiki.

Wakiambiwa Demokrasia ianzie kwenye vyama vyao vya upinzani wanakataa eti kwa kufanya hivyo kutazidi kukiweka chama tawala madarakani.

Wakiambiwa basi wasusie uchaguzi kwa kuwa hakuna tume huru, wanagawanyika kwa uroho wa ruzuku na kutengeneza vyama vipya au kuamia vyama vingine.

Hivi Watanzania tunahitaji utawala UPI na njia IPI itumike kukiondoa Chama tawala bila kuathili amani na utulivu uliopo?
Mfano hadi leo haijulikani ni nani watagombea Urais upande wa upinzani ili wananchi tuanze kuwapima.

Kwa ufupi upinzani nchini unategemea wagombea Uraisi walioenguliwa kutoka Chama tawala kitu ambacho ni kinyume na matakwa ya wanachama wao au miungano ya vyama kunakopelekea kuvivuruga vyama vyao kihitikadi.
 
Vikwazo via uchumi aviwaathiri wasababishi yaani kula kulala bali sie wachini,
 
Wawapige life bun wao na vizazi vyao marufuku ya kuingia USA na ulaya
 
pingli-nywee,
Hivi kwa nini nyie wakenya uelewa wenu ni mdogo sana!!!!...ufadhili si kitu cha ajabu,ajabu ni kwenda kuomba msaada,ni kama atokee mtu tu from no where akuambie nakupa msaada wa nauli ya kwenda Westgate mall,na huku hukumuomba,yaani ye mwenyewe tu kaamua kukufadhili.. huwezi kukataa...shida iko pale mtu unamfuata unamuomba akusaidie kitu flani,naye anakupa masharti yake ili aweze kukusaidia!

Kwa hiyo mtu akikufadhili si shida yako,shida anayo yeye,lakini ukiomba msaada,shida unakuwa nayo wewe....elewa hili!
 
Kwanini tukuamini?
Wala sitaki uniamini ,muamini mungu.Soma tangazo la hiyo viza ban halisemi ushoga.Mbona hata Canada wameanza kuwanyima watanzania viza kimya kimya kwani ni ushoga pia.Think out of box.
 
Ila tuombe Mungu tu. Mbinyo huu huwa unakuwa mbaya sana tuusikie tu kiutani utani hivi kama itakuwa kweli. Kinachofuta ni kwamba bank zote zitakazofanya miamala na Tanzania zitapigwa ban Marekani.

Unafikiri korosho yetu tutamuuzia nani, kahawa , chai, mkonge na madhahabu yetu tutayapeleka wapi?

Nakumbuka Uturuki ilipigwa bank mfano kama wa hii, ndani ya siku 7 pesa yao ilishuka dhamani zaidi ya 20% na mturuki na ujeuri wake akanyoosha maelezo.

Nini cha kufanya:
1. Kukubaliana na wanachotaka mabeberu - Nyerere na akili nyingi na ujamaa wake alinyoosha maelezo. Zimbambwe Jeuri mpaka sasa ni kama nchi imekufa na haiwezi tena kufufuka kuchumi.

2. Tudumishe demokrasia mbona ni jambo zuri, tutende haki mbona jambo zuri, turuhusu watu wawe huru kueleza na kuikosoa serikali kuna shida gani?

3. Tusipo angalia Mwisho wetu utakuwa mmbaya sana, walianza na maazimio ya mabunge ya ulaya , sasa marekani congress nk.

Hakika kama haya maoni yetu hayasikilizwi (mkija kutupigia magoti ) tutawafukuza kwa maana sasa kuna muda mzuri wa kufanya diplomasia na kurekebisha hizi sintofahamu kati yetu na siasa na nje ya nchi.

Wakati mwingi msemo huu unakuwa kweli " Mkubwa ni mkubwa tu" tukishindana nao tutapasuka mbavu.
 
Uganda ndio ina sheria kali dhidi ya mashoga ukanda huu, na huwaadhibu vikali, imekuaje hawajatajwa.
Tanzania kuna wajinga wengi na wengi sio wafuatiliaji wa mambo mfano trump na republic Kwa ujumla hawasupport ushoga wana upiga bits lakin MTU anakuambia sababu no ushoga
 
Back
Top Bottom