Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
nimecheka kidogoya wafanyakazi nchini Tanzania wapo kwenye sekta ya kilimo kama njia kuu ya kuwasingizia kipato. Kwa mujibu wa Benki ya Dunia, Tanzania ime
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimecheka kidogoya wafanyakazi nchini Tanzania wapo kwenye sekta ya kilimo kama njia kuu ya kuwasingizia kipato. Kwa mujibu wa Benki ya Dunia, Tanzania ime
Just note! Mshahara wa kawaida ni ule ambao unalipwa kwa wafanyakazi wa kawaida! Huyo anayelipwa milioni 15 ni wa kawaida kweli?Naweza kukubaliana na mleta uzi. Katika nchi yetu, kuna gap kubwa sana ya mishahara. Ni kwa sababu tu watu wa kawaida huwa hatufuatilii haya mambo. Wakati kuna watu wanalipwa sh 200,000 kwa mwezi, kuna mabosi wao hapo hapo wanalipwa milioni 15 au 20 kwa mwezi, pamoja na stahili nyingine kibao. Kwa hiyo ukichukua wastani, data ya wastani wa Sh 900,000 kwa mwezi inaweza kuwa sahihi.
Wa kawaida na asiye wa kawaida ndiyo nini tena hicho mkuu?Just note! Mshahara wa kawaida ni ule ambao unalipwa kwa wafanyakazi wa kawaida! Huyo anayelipwa milioni 15 ni wa kawaida kweli?
MkuluAcha tuwe tu masikini! Kuna uzi hapa unadai salary slips za wakuu fulani ambapo wanadai ni kosa la jinai kuzitoa!
Hapo kwa wawemba hapo pako vizuri sanaTuwe makini na hizi takwimu. Baada ya kusoma hilo imebidi nipembue kidogo.
Mshahara sio issue pekee. Tuangalie bei za vitu. Nimechukua mfano wa kilo ya sukari. Angalia huo mshahara, na bei ya kilo kwa baadhi ya nchi6
Tanzania / 900,000 / 2500 +
Zambia/ 3,300,000 / 1,309
Mauritius / 1,500,000 / 1,670
Ghana / 700,000/ 1,400
Kwa mwendo huu, wapi Kuna nafuu?
Kwa vyovyote vile, ni ghali sana Tanzania. Au kwa lugha nyepesi ni ngumu zaidi kumudu maisha Tanzania kwa mshahara
Yawezekana wakawa wameuliza mashirika binafsi tena ya kimataifa na ma NGO ya kimataifa.