Tanzania yatajwa kwenye orodha ya nchi zenye mishahara mikubwa Afrika

ya wafanyakazi nchini Tanzania wapo kwenye sekta ya kilimo kama njia kuu ya kuwasingizia kipato. Kwa mujibu wa Benki ya Dunia, Tanzania ime
nimecheka kidogo
 
Just note! Mshahara wa kawaida ni ule ambao unalipwa kwa wafanyakazi wa kawaida! Huyo anayelipwa milioni 15 ni wa kawaida kweli?
 
Just note! Mshahara wa kawaida ni ule ambao unalipwa kwa wafanyakazi wa kawaida! Huyo anayelipwa milioni 15 ni wa kawaida kweli?
Wa kawaida na asiye wa kawaida ndiyo nini tena hicho mkuu?
 
Kwa mishahara hii haturudi ng'oo.

Hata ukianzisha biashara, hakuna clientelle

Wacha tupige hela ya maana viwanja vikubwa tu.

Sent from my Kimulimuli
 
1. Huu ni uongo wa siku
2. Kima cha chini kwenye sekta nyingi hakifiki 300,000. Je hizo laki tisa zinatoka wapi????
3. Si kweli "Zaidi ya nusu ya wafanyakazi nchini Tanzania wapo kwenye sekta ya kilimo kama njia kuu ya kuwasingizia kipato". Labda wangesema sekta ya Elimu.
4. Japo wanasema tafiti hupigwa na tafiti, ila hii pumba.
 
Hili shirika ni la kupuuzwa sana.
Tanzania hiihii kuna watu wanalipwa mpaka elfu 90 kwa mwezi.
Au wamechukua sample kwenye mashirika ya kimataifa yanayofanya kazi Tz?
 
Hapo kwa wawemba hapo pako vizuri sana
 
Muongo ww laki Tisa bongo kima cha chini kweli???
 
Hiyo laki 9 ni mshahara wa familia au wa mtu mmoja mmoja?
 
Exactly. Mi nipo kuna rafiki yangu yupo Zambia mshahara wa serikalini kwa kiwango cha chini ni kwacha 4800! Ambayo ni kama milioni moja kwa mwezi. Hao ni walimu wa primary.
Yawezekana wakawa wameuliza mashirika binafsi tena ya kimataifa na ma NGO ya kimataifa.
 
Mishahara ya wabunge+Baba Ubaya ndo yameleta hicho kiwango..



Ni heri ulipwe laki 3 lakini ununue sukari kilo 1 kwa sh.200 kuliko laki 9 halafu sukari sh2500+!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…