Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

Kenya kilichowaumiza zaidi ni ile kufungiwa kuja kuingia mashambani na kununuwa mazao.

Tuliwadekeza sana, akaja Msomali akasema, hapana, kwenda huko.
Mbona wengine wapo wanakuja kununua mahanadi huku kiwangwa kiroho safi tu
Ila wao sasa kwao wanakuwa tofauti sana
Sema dawa yao ni kuwakazia tu watalegea wenyewe

Ova
 
Vifaranga tusichome tuchome hizo Colgate zao na cadbury.
 
Kuna Truvks nyingi za Kenya zinafanya kazi Tanzania.Zinabeba hadi kokoto,makaa ya mawe nk
Wanaleta box za matunda na kiwanda cha kupaki matunda kipo Arusha ila yale maparachichi yanaonekana ni ya Kenya mzigo ukifungwa kwenye kontena unaenda kupakiwa Mombasa sisi tupo kimya tuu kwa sababu hatuna soko la Avocados wao wanafanya kila kitu inabidi iwe kama Ethiopia na Somalia tu wakileta heshima ndio twende sawa...
 
Mabeberu hawataki ATC ya Mama ifue inatishia kuwepo kwao. Freightliner ATC ni ukombozi wa abiria na mizigo yao Kenya hawataki walizoea monopoly.
 
Noted well, sabotage! Kwa wakenya hili hufanyika kila wakati.
 
Mbona Tanzania hawakuenda kwa mahakama ya EAC kama Uganda walivyo enda huko kuwasilisha kesi ya kutumia Kenya Pipeline kusafirisha mafuta yao? Haya maamuzi yao ni ya hasira na kitoto kulipiza kisasi hivyo.
 
Mbona Tanzania hawakuenda kwa mahakama ya EAC kama Uganda walivyo enda huko kuwasilisha kesi ya kutumia Kenya Pipeline kusafirisha mafuta yao? Haya maamuzi yao ni ya hasira na kitoto kulipiza kisasi hivyo.
Tanzania ni Sovereign state, hivyo Mahakama ni sisi wenyewe, shida yako nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…