Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

Jumuiya yetu hii kuna mda huwa najiuliza kabisa kwamba tulijiandaa vya kutosha kuungana? Ni miongoni mwa jumuiya zenye matatizo makubwa sana ya kutokuwelewana kabisa,

Juzi tumetoa kusikia Burundi kafunga mpaka wake na Rwanda

Congo na Rwanda wenye ni shida tupu shutuma kila kukicha

Uganda na Kenya wenyewe mashaka ni makubwa

Congo na Kenya niliona Congo anaishutumu Kenya kwa kuruhusu yule jamaa Mkongo/mpinzani wakati wanakaribia uchaguzi nadhani aliyenda kuongea na vyombo vya habari Kenya

Tanzania na Kenya hapa sasa ndo ngachoka

Somalia na Kenya wenyewe ni shida

Jumuiya ya kinafiki hii acha tu
 

Bado Somalia hajaanza ujinga wake.
 

Umesema kweli kabisa. Unafika JKIA saa mbili usiku unaondoka saa kumi na mbili Asubuhi Kuja Dar, aiseeh ni mateso. Leo ndio umenifungua macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…