FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Na sasa kaamuwa kuwafungia Wakenya eyapoti zetu.Mama yenu si alifungua Nchi.
Ukimwaga ugali tunamwaga mboga.
Unalo zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sasa kaamuwa kuwafungia Wakenya eyapoti zetu.Mama yenu si alifungua Nchi.
We jamaa wewe? Umesoma barua kweli?Tar 17 nna wageni wangu wanakuja dsm na KQ
sasa hapo inakuwaje
Ova
Tena kama wametotoa warudishe na vifarangaWaambieni warudishe wale tausi wetu.
ipo ndani ya mudaTar 17 nna wageni wangu wanakuja dsm na KQ
sasa hapo inakuwaje
Ova
Mjadala na wakenya? Subiri uone nani atakuwa loser kwenye hii sagaBadala ya kufungua mjadala mnazuia, wanajua connection za KQ kuja Tanzania zilivyo muhimu?
Badala ya kufungua mjadala mnazuia, wanajua connection za KQ kuja Tanzania zilivyo muhimu?
Sisi wastaarabu, tukikupa zawadi imekuwa mali yako, siyo yetu tena.Waambieni warudishe wale tausi wetu.
EAC ni muungano wa kihuni sana na utasambaratikaga kihuni sana,Rwanda na Burundi wana bifu,Rwanda na Congo bifu,Uganda na Kenya bifu ya biashara ya mafuta na sasa Kenya na Tanzania tena. Muungano kama EU wana mashariti magumu sana kupokea wanachama,ndio maana huwezi sikia wanakwaruzana wao kwa wao.EAC ni muungano wa kihuni
Uko Gaza?Badala ya kufungua mjadala mnazuia, wanajua connection za KQ kuja Tanzania zilivyo muhimu?
Si tuliambiwa tumefungua nchi na kwamba rais wetu ni mwanadiplomasia nguli asiye na mfano barani Africa?
Kenya hufanya hujuma sana za kichini chini kufanya abiria wanaokuja Tanzania kupitia JKIA Jomo Kenyatta International Airport Nairobi kwa kuwaweka masaa kibao ili abiria hao waseme usafiri kwenda Tanzania ni mgumu sana hivyo kama masuala ya kiutalii, biashara n.k bora wamalizie Nairobi Kenya badala ya kwenda 'shamba kijijini' Tanzania ambapo usafiri wa ndege ni mgumu sana...