Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

Punguza makasiriko...kibiashara wote tunapoteza. Angalia frequency na idadi ya miji KQ anayotua utaelewa nani atampigia magoti mwenzake 😃🤭

 
Naipenda sana kanuni ya "jino kwa jino ".
Tatizo wakenya wanadhani watanzania kizazi Cha Sasa ndicho kile Cha Enzi za Nyerere wasoma Shule mbovu na vyuo vibovu vya ndani na nje

Kizazi Cha Sasa Cha watanzania ambao hawakuwa Wala uongozi Kipindi Cha Nyerere na walivyosoma ni nje ya mitaala ya Nyerere wengine wamesoma Hadi hukohuko Kenya au ulaya au marekani kuanzia chekecheea au In between Kwa level mojawapo .So they are fearless .Wakenya wasiishi Kwa mazoea wasomi wa Sasa sio wale wa Enzi za Nyerere Walikuwa wakiponda ohh hata kingereza hawajui wakenya wanawapita

Wakenya wajiandae current leaders waliopo areas mbalimbali wengine hata hawajui Nyerere ni nani wanajali tu profession zao,utaalamu na Uzalendo tu

Kenya watoke nje Ya Box the Tanzania they new sio ya Sasa

Hii ya Sasa Ina new generation wengi wanaojielewa not old dogs loyal to Kenya
 
Diplomadua
 
India na Pakistan walianzaga hivi hivi
 
Ingekua jembe kafanya hivi angetukanwa sana,uliona mbali R.I.P JPM


#Pooooovuuuuruksaaaa
JPM ndio mambo yake haya ukija mpole anaenda na ww hvo hvo ukijifanya mjanja mjanja anaenda na ww hvohvo ukjifanya jeuri pale ndio palkuwa mahala pake ,Oyah yule alkuwa mtu EA hii Tz tulianza kuogopeka kbs ,angekuwa JPM angewapga na kitu kzto kikiwemo na kingne
 
Magu alishawahi wazuia hawa akaonekana mzee wa Chato mtata. Leo yanarudi yale yale .. inabidi tuende km asemavyo Meddie Kagere " Ukimjua Mnafiki ishi nae Kinafiki"
Nakwambia ww acha tu ila JPM alkuwa ni mtu anaeona mbali sana hakuna kolo atakuja hta kumsogelea yule jamaa he was real perfect for a failed nation like Tanzania ,may his soul Rip.
 
Wakileta bifu za kipumbavu wakati wa kulipiza unaenda hatua moja mbele, yaani unafanyia kitu kama mtu mwenye tabia ya kuzira pasipo na sababu akizira unamnyima kabsaa halafu unakaa kimyaa baada ya hapo hatorudia tena, sasa na hawa pamoja na kufukuza ndege ungeendana na msako wa raia wanaoishi nchini kinyume cha sheria, baada ya hapo bidhaa kutoka kenya zinapigwa pini baada ya hapo hawatorudia tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…