Huko Holili border nako kunafuka moshi baada ya mamlaka za Tz kuzuia shehena ya parachichi toka Kenya kwa madai ya ubora hafifu.
Tusubiri counterattack.
Hazikuwa kwa ajili ya soko letu. Ilikuwa zinatafutiwa vibali Tanzania ili zikauzwe nje. Hazikuwa na viwango vya kupata vibali vya kuuzwa nje ya Kenya.Nasisi tz tumezidi sasa hadi parachichi itoke Kenya? Mbeya na njombe yanaoza tu
Hujui nachosema mimi, kuna connection nyingi sana za watalii zinaishia kenya, unafikiri nakuongelea wewe fala unayesafiri mara moja kwa miaka 6
Halafu utashangaa Wakenya wanafungua anga na sisi hao kurupu tunafungua.Kumekucha.
Kama kupata tupate wote, kwa nini unazuia ATCL isinlbebe mizigo Tanzania na kutua Kenya.
Nadhani kuna haja ya kutumia forum za kidiplomasia za EAC. Vinginevyo tuambiwe EAC imeshindwa kukutanisha viongozi wake ili kutatua mambo yao kwa amani.
======
Taarifa ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania imeeleza kuwa kwa niaba ya Mamlaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imeamua kufuta vibali vya Shirika la Ndege la Kenya (KQ) kuendesha safari za abiria kati ya Nairobi na Dar es Salaam kuanzia 22 Januari 2024
Taarifa hiyo imedai hatua hii ni baada ya uamuzi wa mamlaka ya anga ya Jamhuri ya Kenya kwenda kinyume na Kifungu cha 4 cha Mkataba wa Maelewano kuhusu Huduma za Ndege, kati ya Tanzania na Kenya yaliyotiwa saini Novemba 24, 2016 Jijini Nairobi
Kufuatia Uamuzi huu, hakutakuwa na safari za ndege za abiria kwa KQ kati ya Nairobi na Dar es Salaam kuanzia tarehe 22 Januari 2024
View attachment 2872698
Sasa tujadili nini?Badala ya kufungua mjadala mnazuia, wanajua connection za KQ kuja Tanzania zilivyo muhimu?
Hakuna haki bila wajibu. Ukifunguliwa nawe fungua wako.Si tuliambiwa tumefungua nchi na kwamba rais wetu ni mwanadiplomasia nguli asiye na mfano barani Africa?
Tuvichome motoTena kama wametotoa warudishe na vifaranga
Muache apumzike kwa amani. Jembe jembe mfuate aliko. Galagabaho.Ingekua jembe kafanya hivi angetukanwa sana,uliona mbali R.I.P JPM
#Pooooovuuuuruksaaaa
Hawa watu ni washenzi sana wajiona wana akili kuliko watu wote hapa east africaKenya kilichowaumiza zaidi ni ile kufungiwa kuja kuingia mashambani na kununuwa mazao.
Tuliwadekeza sana, akaja Msomali akasema, hapana, kwenda huko.
Watakufa njaa,wasameheHapo ni sawa
Wasituchukulie poa
Funga na boarder
Kila upande ujitegemee
Nililisema hili mahaliIngekua jembe kafanya hivi angetukanwa sana,uliona mbali R.I.P JPM
#Pooooovuuuuruksaaaa
Kuna Truvks nyingi za Kenya zinafanya kazi Tanzania.Zinabeba hadi kokoto,makaa ya mawe nkWakenya ni hatari sana wao utakuta gari zao zipo Ruvuma zinapakia mahindi ila wao hawataki gari zetu ziingie ndani ndani kupakia kitu chochote wangeachana na huo upuuzi aisee kila kukicha mambo ya kizamani tuu..