Jumuiya yetu hii kuna mda huwa najiuliza kabisa kwamba tulijiandaa vya kutosha kuungana? Ni miongoni mwa jumuiya zenye matatizo makubwa sana ya kutokuwelewana kabisa,
Juzi tumetoa kusikia Burundi kafunga mpaka wake na Rwanda
Congo na Rwanda wenye ni shida tupu shutuma kila kukicha
Uganda na Kenya wenyewe mashaka ni makubwa
Congo na Kenya niliona Congo anaishutumu Kenya kwa kuruhusu yule jamaa Mkongo/mpinzani wakati wanakaribia uchaguzi nadhani aliyenda kuongea na vyombo vya habari Kenya
Tanzania na Kenya hapa sasa ndo ngachoka
Somalia na Kenya wenyewe ni shida
Jumuiya ya kinafiki hii acha tu