Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

Tafuta hela huhitaji kupita Kenya kwenda popote pale. Nasafiri na pipa daily na sijawahi gusa Kenya kwa ndege.

Hizo ticket zenu za Bei rahisi mnasimama kila Kona kama daladala. Tafuta hela
dah usikute hata siti ya ndege hujawahi ona
 
Jumuiya yetu hii kuna mda huwa najiuliza kabisa kwamba tulijiandaa vya kutosha kuungana? Ni miongoni mwa jumuiya zenye matatizo makubwa sana ya kutokuwelewana kabisa,

Juzi tumetoa kusikia Burundi kafunga mpaka wake na Rwanda

Congo na Rwanda wenye ni shida tupu shutuma kila kukicha

Uganda na Kenya wenyewe mashaka ni makubwa

Congo na Kenya niliona Congo anaishutumu Kenya kwa kuruhusu yule jamaa Mkongo/mpinzani wakati wanakaribia uchaguzi nadhani aliyenda kuongea na vyombo vya habari Kenya

Tanzania na Kenya hapa sasa ndo ngachoka

Somalia na Kenya wenyewe ni shida

Jumuiya ya kinafiki hii acha tu
Umesahau Rwanda na Uganda pia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila Tanzania tunanyanyaswq sana juzi tu malawi wamerestrict mahindi kutoka Tanzania kuingia nchini kwao Tanzania nao wakaban importation ya soya beans kutoka malawi
Wabongo tumekaa kizuzu ,ilibidi hii EAC sisi ndio tuwe superpower , hawa Kenge wengine washatuona nanga ,ndio maana wanatishia sharuku kila kukicha
 
Back
Top Bottom