Tanzanialeaks apuuzwe, Hazina haijafilisika

Tanzanialeaks apuuzwe, Hazina haijafilisika

Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.

Hongereni nimeona Mkandarasi akianza ujenzi wa Daraja jipya kubwa na la kisasa la mto simiyu (Magu), Daraja ambalo kwa miaka mingi limekua tishio kwa wasafiri wa Kanda ya Ziwa kuelekea Mkoa wa Mara na Simiyu, na limebeba majonzi ya familia nyingi, yet ni daraja muhimu sana kwa kanda ya ziwa.
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia

Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.

Kwani britanicca yeye anasemaje. Ndie ninayemuamini humu
 
Mheshimiwa heshima kwako asee mtu wangu wa nguvu. Nachokuomba mwanangu mtu wangu wa nguvu usinisahau 2030 kuendelea kwenye ufalme wako hata ubalozi ama UDC.

Mungu akulinde kwenye majukumu yako. Mfikishie mama salamu zangu za dhati muambie tupo pamoja hadi 2030.

Uchawa pro max...

Watu mnawaza kupewa tu vitu dezo dezo...
 
Hakika uchaguzi umekalibia ndio umekuja leo?Baada ya miaka 4 sawa.ila mganga wako kiboko CHURA kamfumbazi KABISA wala hakugusi.







KAZI ni kipimo cha UTU
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.

Nataka mkuu ujue biashara hazina balance na Kodi,hivyo biashara nyingi zinakufa tukajua bado tunadaiwa kumbe tumelipa mkuu,mbona mtaani hakuna cash mkuu.
 
Sawa waziri tumekuelewa na kukusikia ,,, lakin tukiachana na hayo ,,
Mwaka 2016 pale mlimani city ,,, ndiyo ilikuwa mwaka unatunikiwa udocta pale katika mambo hayo ya uchumi ..

Nakumbuka vizuri ,, kabisa mlitangulia ninyi ambayo kiidadi mlikuwa wachache sana ,,, afu sisi wa degree tukafuata ,, hakika alikuwa siku nzuri sana iliyofana sana ,, nikikumbuka zile ndelemo na vifijo tulizo piga mule ndani ni wazi wote tulikuwa na furaha sana bila shaka wote kati yetu hakuna apendaye kumbukumbu hii nzuri ifutike kichwani mwake ..

Lakini ,, mkuu wew unaona sawa kweli ?? Wenzio toka ule mwaka 2016 ,, toka tumeachana siku ile pale mlimani city ,, hatujawahi kupata kazi mwaka wa 8 huu mkuu tunaangaika vibaya mno mtaani huku ,,, maisha yamekuwa magumu vibayo mno mpaka yamepelekea baadhi ya jamaa tuliokuwa nao siku ile pale mlimani kupoteza maisha ,, japo nipo hai lakini pengine wiki au mwezi mmoja mbele na mimi pia nikawa miongoni mwa watakaongeza idadi tokana hali ngumu tunazopitia huku ...

Mkuu mimi naamini kwa nafasi uliyonayo ,,, ushawashi ulionao kwa namna fulani unaweza kuishawishi serikali kitoa ajira ,,, mkuu hali huku mtaani siyo nzuri ,,, bora kwa wanawake anaweza pata bwana tajiri akaolewa ,,, lakin kwa sisi wanaume hali ni ngumu sanaa.. muheshimiwa wewe ukiwa kama waziri ,, ukiwa kama mwanaume mwenzangu ,,, lakini pia mimi nikiwa kama mdogo wako ,,, tafadhari tusaidieni wenzeni Ajira ,,, umri unatutupa mkono hatuna mbele wala nyuma ,, hatuna familia hatuna kazi ,, tafadhari tuoneeni huruma wenzenu ..
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.

Kumbe ni TAARIFA! Taarifa haiwezi kupuuzwa si inataatifu kinachotokea au kinachoendelea! Uwongo hauwezi kuwa taarifa.
 
Mnaficha kitu ambacho kiko wazi kabisa ,wananchi sio wapumbavu kama mnavyofikiri .
Miradi kibao imesimama ,hata wakandarasi na Wazabuni hawalipwi ni karibia mwaka sasa ,na wanadai madeni kibao .
Miradi kama ujenzi wa meli pale Mwanza ,reli kipande cha Isaka -Mwanza mchina kadimamisha kazi na kupunguza wafanyakazi , yapi alishakimbia .
Acheni upumbavu ,nchi inapumulia mashine kwa uroho na upumbavu wa kufuja pesa ña ufisadi
Kama anasoma hizi comments, bila shaka atakuwa amepata majibu ni jinsi gani umma wa watanzania unavyowachukulia wao kama viongozi. Ni wazi hawakubaliki na watu wamewachoka.
 
Puuzeni taarifa ya “Tanzanialeaks” Serikali haijafilisika, Ameandika hatujalipa Bwawa - Uongo mtupu, Bwawa la Mwl Nyerere hatudaiwi hata Invoice Moja na Wiki jana tumewasha na mtambo wa 7, ( Sasa tumeshawasha 7, 8 & 9 kila mmoja 235MW).

Ameandika kuhusu Yapi, hawa walikuwa na matatizo madogo kama kampuni nayo yanaendelea kutatuliwa, Malipo yameendelea kulipwa kwenye Sekta zote na mengine yapo kwenye hatua za mwisho za malipo. Waongo buana amesahau kwamba ndio tuko wiki ya pili ya mwaka mpya wa Fedha. Puuzeni ni wale wale wenye kututakia mabaya.

Nchi mmeiharibu kwa mikono yenu
Ni muda muafaka mtafakari tutatokaje hapa, na tutaendaje mbele

Mkunbuke Kuna watu mil 60 wako nyuma wahahitaji kula, kutibiwa kulindwa nk.

Kwenye vikao vyenu Mmshauri mama yenu akubali kuahirisha uchaguzi tupate katiba mpya.

Kubalini tuanze upya kama nchi huku mtaani Kuna vichwa siyo ccm na haviko serikalini vitasaidia akili ya kutukwamu tuvitumie

Acheni ubinafsi wa kichama mambo ya siyo mwenzetu yakome hii nchi yetu sote, watu wazuri wapo lakini mfumo unawakataa, kubalini tu ambao hawajaiba imetoka hiyo

Dili la mwisho kabla ya kuanza upya
liwe la sukari na bandari inatosha

Katiba mpya iondoe monopoly ya kisiasa, kiuchumi, ajira na nk.

Katiba mpya itupe mgombea binafsi
Haya mavyama Yana shida zake

Ushauri Wetu wazalendo unaweza uchukua au uacha lakini huko mbeleni utatukumbuka mambo yakiwa magumu.
 
Huyu jamaa aanze kulipia matangazo na propaganda zake anazoleta humu ndani..., What is the point kuanzisha mada ambayo inahitaji majibu na wewe kutokuchukua muda kutoa majibu ?

Yaani anashindwa hata kuwa na wasaidizi wa kuweza kumjibia kama mwenyewe hawezi ? Anacholeta sio mijadala bali ni matangazo hence hata yangepelekwa jukwaa la matangazo kutakuwa hakuna kosa....
 
Huyu jamaa aanze kulipia matangazo na propaganda zake anazoleta humu ndani..., What is the point kuanzisha mada ambayo inahitaji majibu na wewe kutokuchukua muda kutoa majibu ?

Yaani anashindwa hata kuwa na wasaidizi wa kuweza kumjibia kama mwenyewe hawezi ? Anacholeta sio mijadala bali ni matangazo hence hata yangepelekwa jukwaa la matangazo kutakuwa hakuna kosa....
yuko kwenye msafara wa urais
 
Back
Top Bottom