Tumewazoea... Hata september 11 Osama alisema ........Allah akbar....Alshaabaab kule Somalia na Boko kule Nigeria wanachofanya mnafurahia pia. Mie huwa siwashangai sana kwani ndivyo mlivyo.....
Mi nneamua kubadilika na kuhamia kwa makafiri kwa sababu hizo hizo. Hawa watu ni sawa au pengine wamewazidi kidogo wale majini (roho wachafu).
Wewe una matatizo....inakuwaje maoni ya mtu binafsi unahukumu umma wote?! Wewe na huyo hamada hamna tofauti...wote mmejawa na chuki dhidi ya makundi fulani ya watu....ni kansa isiyohitajika kwenye jamii iliyostaarabika!
sheria inaruhusu kuoa 15+ ingawa kuna sheria inataka under 18 wawe shuleni.kwa hiyo kanumba alikuwa anakula miaka 30 gerezani au maisha
au amejiwahi
Lulu uliambiwa mwanangu, asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu. Sasa ona utaishia jela kwa kuua bila kukusudia. Umejiharibia maisha yako maana mzimu wa Kanumba hautakuacha kamwe. Haya we!!! Uliyotaka umeyapata!!!!
je kanasoma shule gani? kanaishi na wazazi wapi? wazazi nao wahojiwe kwa kumharibu mtoto
Wandugu, watu kama akina Kanumba nchi nyingine huwapa VIP passport na huwa wanapewa mazishi ya Kitaifa, nchi zinazotambua mchango wa wasanii hawa katika kukuza jina la taifa husika katika nchi mbalimbali duniani na hata katika maendeleo ya nchi hasa katika kuelimisha nk
J e kanumba anastahili mazishi ya kitaifa?
sheria inaruhusu kuoa 15+ ingawa kuna sheria inataka under 18 wawe shuleni.
Hizi chini ni twitter za mwisho mwisho za kanumba na lulu......
Inavyoonekana hapo jamaa walikuwa wana date.....