Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Tujipangeni maana kesho ni sisi haya yamepitaa yeye kashaenda kupumzika tujihoji sisi tumejipangaje? Naamini kila tukio huja kwa sababu fulani inaweza ikawa nzuri au mbaya, ni time yetu kujihoji na kuachana na mazishi ya kitaifa ambayo yanakupa ya dunia na wala si ya mungu. Kumbuka kesho ni easter ishara ya ukombozi wa kweli let's get prepared for the day.
 
Huyo aliyekuwa anampigia simu Lulu usiku akamatwe na polisi ahojiwe!
 
RIP My All Time Movie Superstar...
KANUMBA THE GREAT!
Wewe mbele sisi nyuma.
 

Usihofu, Hon Mr President will be there. Ni mazishi ya kitaifa tosha, siyo?
 

Labda mwenzetu ndo alikuwa kamzimia kafa na kaoza juu yake ndo maana ikamsababishia yote hayo
 
Dogo......unapotosha...mdogo wake kanumba kasema aliwaona sebuleni na then wakaamia chumbani na mara ukazuka ugomvi wa maneno ambayo alisikia ni kuhusu simu.....later on lulu akatoka na kumwambia seti kuwa kanumba kaanguka...ndio kwenda na kumpigia dr wake simu na kumkimbiza hospital....

...na kasema wakati wote huo lulu nae alikuwa kama kachanganyikiwa alikuwa anazunguka zunguka ndani.....alipelekwa hospital bila yeye lulu.....kuanzia hapo alikutana na lulu polisi......
 
huyu binti ametimiza miaka 18 mwaka jana october kama sikosei.....jamaa alikuwa anatafuna kwa uzuri kabisa

kama keshatimiza basi hukumu ya kifo inamhusu
 
tehe tehe with all respect jamaa alipokuwa anahojiwa na zamaradi alisema lulu ni kama mdogo wake kumbe jamaa alikua ana kula mzigo behind the scene...hata mm nakatamani haka kalulu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…