Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,735
Naomba hii iwe signature yangu.
We are masters of our own fates...by the choices we make!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We are masters of our own fates...by the choices we make!
hiyo ya uchi huyo mtoto aliwahi kudai kuwa ni yakutengenezwa
ukisikia sisimizi kaua tembo ndo hii..! Anyway, kifo hakina formula.sasa haka katoto kalimzidi vp nguvu???
kwa hiyo kanumba alikuwa anakula miaka 30 gerezani au maisha
au amejiwahi
We are masters of our own fates...by the choices we make!
Marehemu ana dhambi,kwanini alikuwa na mtoto ambaye sio mke wake, alikuwa anasubiri nini kuoa?
labda hii ndo alikuwa anaanza....lo!LULU muongo yule kaumbukaje? Nakumbuku sentens yake I DONT NEED A BOYFRIEND SALAMA, I AM ONLY EIGTEEN!
Wandugu, watu kama akina Kanumba nchi nyingine huwapa VIP passport na huwa wanapewa mazishi ya Kitaifa, nchi zinazotambua mchango wa wasanii hawa katika kukuza jina la taifa husika katika nchi mbalimbali duniani na hata katika maendeleo ya nchi hasa katika kuelimisha nk
J e kanumba anastahili mazishi ya kitaifa?
haka katoto kina kanumba haa ndo wamekafundisha uigizaji kakiwa katoto kabisa....wao ndo wamekuwa wakikamega ..na kingneni ni kwamba huyu mtoto alikuwa hajatulia hata kidogo....marehemu alipaswa kuwa na kifua kipana sana..hakukuwa na sababu ya kugombana wakati anajua huyu mtoto ni shakula ya wote
Dogo......unapotosha...mdogo wake kanumba kasema aliwaona sebuleni na then wakaamia chumbani na mara ukazuka ugomvi wa maneno ambayo alisikia ni kuhusu simu.....later on lulu akatoka na kumwambia seti kuwa kanumba kaanguka...ndio kwenda na kumpigia dr wake simu na kumkimbiza hospital....EATV wamesema Lulu alimwacha hai kanumba..................alipoondoka yule mdada pale kwa Kanumba........na hizo ni taarifa za mdogo wake mwenyewe Kanumba ambaye yasemekana alijirudia chumbani kwake ambako mara khali yake ilibadilika ghafla....................nionavyo tusubiri post-mortemm ripoti kabla ya kumzulia mtoto wa watu mambo mabaya....................ninafahamu usemi usema hujafa hujaumbuka unatusukuma wengi kuwa upande wa mwenda-zake
huyu binti ametimiza miaka 18 mwaka jana october kama sikosei.....jamaa alikuwa anatafuna kwa uzuri kabisa
Huyo aliyekuwa anampigia simu Lulu usiku akamatwe na polisi ahojiwe!