mwennzetuu katutooka ,llakini tutasikiia magazeti yetu ambayo huandika sana maswala yaugoni nauzizinzi yatakavyo fanya kifocha kanumba kuwa mataji,wataandika hata uoongo ilwauze tumagazeti,hii inasikitisha sana ebu tujaribu kutoa taarifa sahihi kwa umailitusipotoshe jamii,.naandika haya kutokana nauzoefunilio nao kwa magazeti haya kwamfano kipindi alipo faliki amina chifupa ili chukua zaid ya mwaka wakiandika habari zachifvupambazo kimsingi hazikuwa na ukweli wowote .inasikitisha sana tujaribu kuwa wakweli ,naandika haya kwasababu hayapendezi , magazetiya jaribu kuandika makala zinzo jenga jamii sio fulani kashikwa ugoni na fulani hizo sio habari pekeake au fulani anatembea na fulani .nchi yetu ina matatizo mengi ambayo haya andikwi
basia andikeni hayo sio mapenzi na uzinzi tu kila siku