Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 448
hacha utoto maana jamaa alikua mkali sn kuliko sir nature maanahata mtoto wa miaka 3 anamjua kanumba ama kweli chema hakidumu
kwani nature kuna mtu hamjui?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hacha utoto maana jamaa alikua mkali sn kuliko sir nature maanahata mtoto wa miaka 3 anamjua kanumba ama kweli chema hakidumu
Halafu kifo chenyewe kama hiki, si ajabu jana tu kapiga naye story, halafu baadaye anaambiwa amekufa. Bora uuguze aisee. Maana kwenye kuuguza huwa inafika wakati unamwomba Mungu ampumzishe lakini hii ya ghafla, sijui kama machozi yake huwa yanaisha.
Kumbe we kilaza unajua kuanzisha sredi?Prof Mtakyawa wa geology university of Dar na Bingu wa Mthalika wamekufa Leo! Ajabu msiba wa Kanumba umefunika hata msiba wa prof wa mawe
Wote rest in peace
Rt rev masa
Amekufa pamoja na yesu... R.I.P Kanumba
Halafu kifo chenyewe kama
hiki, si ajabu jana tu kapiga naye story, halafu baadaye anaambiwa
amekufa. Bora uuguze aisee. Maana kwenye kuuguza huwa inafika wakati
unamwomba Mungu ampumzishe lakini hii ya ghafla, sijui kama machozi yake
huwa yanaisha.
This is only in Tz kifo cha Prominent Prof hakionekani!
Prof Mtakyawa wa geology university of Dar na Bingu wa Mthalika wamekufa Leo! Ajabu msiba wa Kanumba umefunika hata msiba wa prof wa mawe
Wote rest in peace
Rt rev masa
prof wa mawe ndio amefundisha hawa jamaa wa mambo ya nishati na madini wanaoiba rasilimali zetu?
Wadau mwenye contacts za steven kanumba plzzzz anisaidie nina shida naye!