Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

inaonekana kbs una chuki binafsi,bendera fuata upepo na kanjanja,
usilete malumbano ya iman hapa saiz,kama osama,alshabaab na boko haram wanaua kwa kutumia kigezo cha dini ni wao na mitizamo yao,dini yetu sisi inahubiri aman na kila mwerevu hapa hao mapadri wenu wanajua,
sasa baadh ya viongoz wenu ambao wanashutumiwa kwa ushoga na wapo,ambao wanalawito vitoto pia wapo na kufanya machafu na watawa wa kike,unataka tuwahukumu wote kwnye mfumo huo ni waovu??
kam kanumba ameishi maisha yake kwa kumchukiza mungu na kufia kwenye mambo ya kumchukiza mungu maombi yako yatasaidia nin??
Kila mtu atalipwa kwa matendo yake aliyofanya,we kaa ukizubaa dhambini kwa matumain kua kuna mtu kafa kwa ajili ya dhambi zako,thubutuuuu utasaga meno nduguuu...

tusipende sana kutoa hukumu kwani hatuna mamlaka hayo!!
 
Wajamen. Kumbuken msanii ni kioo cha jamii. Farisayo hutwisha w2 mizigo mizito ambayo wao hawaigusi ata kwa vidole! Tehteheeee
 
Yaani that's th problem ya sisi waswahili tukija kupata hela.. Sasa ndio mambo gani yakuongelea hayo.. Hivi huyu mpumbavu ana akili kweli ?? Ndio maana tunaanmbiwa elimu ni muhimu sana.. ****en Premitive idiot!! Kuongelea pumba tu..
 
Kama unanituhumu kuwahukumu Alshaabab, Alqaeda, Boko haraam na WENYE KUWAUNGA MKONO kwa hakika niko tayari shutumu hadi kukuche wala sitabadilika kwasababu na wewe utakuwa mmoja wao kwa hakika.
NDUGU ACHA UDOGMATISM KTK VITU VYA MSINGI VINAVOHUSU MAISHA YAKO KAMA DINI,USIPENDE SANA KUHUBIRIWA KUHUSU DINI,CHUKUA VITABU VYA DINI UVISOME,SOMA BIBLIA UIJUE,NA USIPENDE KUSOMEWA
NAN KAKUAMBIA KUA KTK DINI YA UISLAM WATU KAMA ALSHABAAB,ALQAEDA,BOKO HARAM NA WENGNE WENGI WANARUHUSIWA KUFANYA IVO NA SHERIA ZA DINI HII??
Je hao MAKASISI MASHOGA,WALAWITI,WANAOFANYA MACHAFU NA WATAWA WA KIKE KILA SIKU WAMERUHISIWA?
Acha kuishi kwa propaganda,mwisho wa siku ukiondoka hapa ulimwenguni unaondoka pekeyako...!
 
hakika tv za bongo ni kama ugonjwa wa moyo!yaani wanashindwa kuonesha hata habri za kanumba kama wenzetu wanavyofanya huko kwao?kweli kina ruge na clouds wanahitaji pongzi kwa kuonesha mfano mzuri wa kuigwa.
 
Haya ni baadhi ya matukio yaliyojiri katika msiba wa kanumba. Nitazidi kuwapa taarifa zaidi kadiri muda utakavyozidi kwenda.

kanumbamsiba1.jpg IMG_0019.jpg kanumbamsiba4.jpg IMG_0003.JPG IMG_0004.JPG IMG_0007.JPG IMG_0005.JPG IMG_0006.JPG kanumbamsiba3.jpg kanumbamsiba.jpg


IMG_0008.JPG IMG_0010.JPG IMG_0011.JPG IMG_0013.JPG IMG_0015.JPG IMG_0017.JPG IMG_0019.jpg IMG_0022.jpg IMG_0023.jpg IMG_0024.jpg IMG_0025.jpg IMG_0027.jpg IMG_0030.jpg IMG_0032.jpg IMG_0033.jpg IMG_0036.jpg
 
Kimsingi tunajua kale kamchezo katamu! Tujadili maswala ya siasa sasa.
 
Isingekuwa ni huu msiba wa Stephen Kanumba pengine nisingejua kiwango cha akili cha hawa wanaojiita ma 'star' wa Tanzania.

Leo asubuhi Clouds Tv walikuwa wanarusha live kipindi maalum cha mahojiano na watu waliokuwa wanamfahamu vizuri Kanumba.

Cha Ajabu Ray sijui ndiye Vincent Kigosi yeye kashikilia tu ubishoo tena wa kitoto uliogubikwa ushamba.

Wenzake wanaomboleza na kusikitika yeye kashupalia: " .... unajua niliponununua ile Lexus yangu, na Kanumba pia akanunua. Na baadae nikanunua Gari dogo naye akanunua, hivi sasa nina kiwanja Mbezi na utashangaa hata Kanumba alinunua pale jirani yangu kabisa ......................!"

Bongo Movie indeed
Huyu jamaa huenda anahusika na kifo cha Kanumba yani hajaonesha kusikitika kbs hata pale Muhimbili wkt wa kushusha mwili kwenye gari badala ya kusaidia alikuwa busy kupiga picha
 
Back
Top Bottom