Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,383
- 4,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba hii iwe signature yangu.
hawa waandishi wa habari ni wakupiga vibao, muda kama huu ni mzito sana kwa familia ya kanumba hasa mama mzazi alafu hawa wapuuzi wanaenda kuinterview, waache familia iombeleze na Mungu awape nguvu ya kuvuka kipindi hiki kigumu. R.I.P Kanumba
sasa kama usiku huo walikua wawili ndani tena chumbani,hawakua wamefanya kitu?kama watakua kuna kitu walifanya before je kanumba alipata hata mda wa kutubu kidogo?hamna kitu kibaya kama kufa kwenye dhambi.
Kanumba akiwa ameshafariki anaekea mochwari soo sad R.I.P Brother.
ni makosa kusema huyu binti 'kamuua' kanumba
tusubiri ripoti kamili
Na huyu ni 4shizo ni wewe vilevile?umeiona??
Amekufa pamoja na yesu... R.I.P Kanumba
hacha utoto maana jamaa alikua mkali sn kuliko sir nature maanahata mtoto wa miaka 3 anamjua kanumba ama kweli chema hakidumuhakufikia umaarufu wa JUMA NATURE
jana ilikuwa siku ya sadaka ya damu yeye,Mutharika na wengine walitolewa...hautakaa uelewe.
18 yrs old... katimiza juzi hivi..