Tanzanian Air Force takes delivery of 14 new J-7G fighter jets

Tanzanian Air Force takes delivery of 14 new J-7G fighter jets

Salamu kwa Banda

Salaam zilishamfikia hata kabla.Mafuta ya magari Malawi ni tatizo.Kuna mafoleni watu wanapanga hadi wiki kununua mafuta ya magari kidumu cha lita tano.Gari la mafuta klikiingia watu wanalikimbilia kama wehu na vidumu.
Hela za kigeni hana anahaha.

Hilo la kelele za mpaka analitumia kama karata kwa ajili ya uchaguzi ujao wa Raisi wa malawi.
Kutokana na hali ngumu ya maisha malawi kupita kwenye huo uchaguzi ni ndoto.Hizo kelele za mpaka zitaisha akishapigwa chini.

Na uzuri siasa za malawi watanzania tunazijua kuliko haka kamama kalikopewa uraisi mezani baada ya raisi kufariki.Akawaulize akina Bakili Mulunzi Raisi mstaafu wa Malawi.

Salaam Kazipata na atazipata kwenye uchaguzi ujao.
 
Well, i don't think the threat from Lake Nyasa dispute is big enough to warrant a panic in TZ. I believe the TPDF in its current form is more than adequate to deal with any eventuality.

..lake Nyasa dispute should be resolved thru' the international court of justice.

..i am against matumizi ya tax payers money kununua masilaha makubwa-makubwa.

..i would like to see our army more involved in engineering projects, humanitarian relief missions, and disaster rescue operations.
 
I was expecting Tz to buy F15 or F16 but not these damn Sukhois
Sometimes you dont need to buy an RPG/BAZOOKA to fight RATS!.If we were in preparation to fight US,may be we could have thoughts of those shits,but East African countries,NOPE! By the way,we do have experts on deciding which arms and what quantity to acquire! Lets leave this to them.
 
What about modernisation of our hospitals and schools!?
It goes hands in
hands. You can be building security fence for your house while making sure you are boiling/filtering your family drinking water for your health safety!
 
Keep on dreaming for another 52 years nothing will be done na hii Serikali dhalimu.

Muhimbili

attachment.php


attachment.php


It goes hands in
hands. You can be building security fence for your house while making sure you are boiling/filtering your family drinking water for your health safety!
 
Mambo ya Jakaya Mrisho Kikwete hayo.

Kagame aseme su! kama hatujaenda kukachukuwa ka-nchi chote kale kwa masaa 6 tu.

saa zingine na wewe usiwage unaandika kishabikishabiki tu; uwage unafanya japo kaanalysis kamoja. mwe....
 
Mkuu kwani F16 ina tofauti gani na hizi za Guanzhou?!
Hazina tofauti.
Kuna mtu nimeona ameziita interceptor kama kuzitofautisha na Fighters yaani F-15,F-16 nk lakini nadhani ni kutojua kwa nini J-7G zinaitwa pia interceptor. J-7G ni version ya MIGs na ziliitwa hivyo wakati wa Cold War kwani zilikuwa na kazi kubwa ya ku intercept fighters za NATO. Lakini kiukweli nazo pia ni fighters kama zilivyo F series na zote zina uwezo mkubwa wa ku perform bullfighting. Tena hizi Mig zinasifiwa sana kwa Air Defence and Air superiority in general mpaka sasa. Kundi lingine la ndege linaitwa Attackers au A series,mfano A-10 attacking planes.Hizi kazi yake kubwa ni ku attack specified ground targets kama majengo,magari,vifaru,meli nk. Huwa si special for aerial/air to air fighting. Lakini habari zinasema kuna wataalamu wameshaunda ndege ambayo ni combination ya fighters na attackers zinaitwa F/As series. Kwa maelezo haya nadhani bado tuko vizuri tu kama tumechukua new J-7G sababu what we need more is superior air defence!
 
JWTZ ni ngumu kuwajua walichonunua, wanachomiliki au wasichomiliki; sababu ya usiri uliopo. Kuna documentary nimewahi kuona mama (mzungu) alikuwa anafanya utafiti juu ya mahusiano ya TZ na Israel na TZ na Parestine aliwahoji watu wengi nakumbuka hadi akna Ulimwengu na Lipumba, alifanikiwa katika taarifa nyingi kisiasa na kijamii lakini kijeshi hakufanikiwa na Alikiri kuwa hakufanikiwa kujua mchango wa Israael jeshini kwa sababu ya usiri uliopo. Kuna uzi nliuona wachangiaji wanahangaika kupata wasifu wa Twalipo na Kihwelu, sasa itakuwaje silaha.
 
JWTZ ni ngumu kuwajua walichonunua, wanachomiliki au wasichomiliki; sababu ya usiri uliopo. Kuna documentary nimewahi kuona mama (mzungu) alikuwa anafanya utafiti juu ya mahusiano ya TZ na Israel na TZ na Parestine aliwahoji watu wengi nakumbuka hadi akna Ulimwengu na Lipumba, alifanikiwa katika taarifa nyingi kisiasa na kijamii lakini kijeshi hakufanikiwa na Alikiri kuwa hakufanikiwa kujua mchango wa Israael jeshini kwa sababu ya usiri uliopo. Kuna uzi nliuona wachangiaji wanahangaika kupata wasifu wa Twalipo na Kihwelu, sasa itakuwaje silaha.

hakuna usiri wowote ktk manunuzi ya vifaa vya kivita hasa vitu kama fighter jet na big weapons labda wewe ndo hujui.... major arms sales ni open na zinajadiliwa na bunge za nchi wauzaji kabla deal haijapitishwa kwa mfano urusi au marekani huwez uziwa silaha bila congress kujadili so hakuna usiri kabisa!!! its pathetic kwa JWTZ kununua ndege za soviet design ya miaka ya 50 tena zenyewe ni chinese copy!!!!
 
hakuna usiri wowote ktk manunuzi ya vifaa vya kivita hasa vitu kama fighter jet na big weapons labda wewe ndo hujui.... major arms sales ni open na zinajadiliwa na bunge za nchi wauzaji kabla deal haijapitishwa kwa mfano urusi au marekani huwez uziwa silaha bila congress kujadili so hakuna usiri kabisa!!! its pathetic kwa JWTZ kununua ndege za soviet design ya miaka ya 50 tena zenyewe ni chinese copy!!!!

Kwahiyo Mkuu unamaanisha Silaha zote za Kenya, Rwanda, Burundi n.k tunazifahamu?
 
jwtz ni ngumu kuwajua walichonunua, wanachomiliki au wasichomiliki; sababu ya usiri uliopo. Kuna documentary nimewahi kuona mama (mzungu) alikuwa anafanya utafiti juu ya mahusiano ya tz na israel na tz na parestine aliwahoji watu wengi nakumbuka hadi akna ulimwengu na lipumba, alifanikiwa katika taarifa nyingi kisiasa na kijamii lakini kijeshi hakufanikiwa na alikiri kuwa hakufanikiwa kujua mchango wa israael jeshini kwa sababu ya usiri uliopo. Kuna uzi nliuona wachangiaji wanahangaika kupata wasifu wa twalipo na kihwelu, sasa itakuwaje silaha.

wanafikiri jeshi letu ni la kisanii na maonyesho kama la kagame, ukitaka taarifa yeyote ya maafisa wa jeshi la rwanda unayapata bila shida yeyote mtandaoni!
 
Nimesoma hiyo taarifa nikabaki hoi. Hebu angalia hapa chini;

The government is also seeking better air and naval defence capabilities to defend newly-found offshore hydrocarbon resources and secure its territorial waters against economic crimes such as illegal fishing. Last year, Tanzania mobilised its defence forces and threatened to go to war with neighbouring Malawi in a feud over exploratory drilling works which were taking place in an oil-rich maritime territory in Lake Nyasa which borders the two countries.

Malawi insisted that the drilling was happening on its side of the marine boundary while Tanzania asserted that the oil-fields fall within its maritime domain. Mediation efforts on the boundary dispute are still in progress.

Kwa hiyo hizi zote ni salamu kwa Banda wa Malawi?
 
hakuna usiri wowote ktk manunuzi ya vifaa vya kivita hasa vitu kama fighter jet na big weapons labda wewe ndo hujui.... major arms sales ni open na zinajadiliwa na bunge za nchi wauzaji kabla deal haijapitishwa kwa mfano urusi au marekani huwez uziwa silaha bila congress kujadili so hakuna usiri kabisa!!! its pathetic kwa JWTZ kununua ndege za soviet design ya miaka ya 50 tena zenyewe ni chinese copy!!!!
huo ndo ukweli ,kandarasi za mauziano ya silaha kubwa kama ndege,meli,makombora huwaga sio hata siku moja ..hizo ndege za mchina ni copy ya Mig21 ya mrusi.

Haziwezi pambana na ndege kama sukhoi ambazo ni more advanced and multirole.
 
Back
Top Bottom