Tanzanian Air Force takes delivery of 14 new J-7G fighter jets

Tanzanian Air Force takes delivery of 14 new J-7G fighter jets

Mambo ya Jakaya Mrisho Kikwete hayo.

Kagame aseme su! kama hatujaenda kukachukuwa ka-nchi chote kale kwa masaa 6 tu.

Ungejua jinsi sukhoi zilivyo ovyo, afadhari hata tungeendelea na Mig, wenyewe wanatengeneza halafu wanasema haya madege mabovu tutawauzia waafrika.
 
wakti umefika kuanza kufikiria kutengeneza za kwetu hakuna kisichowezekana chini ya jua

sio kwa kizazi hiki cha fesibuku na babazao mafisadi! Lazima tufe wote halafu kije kizazi kipya!
 
Hapa shughuli na siri za JESHI pia mnazo Mitaani!!!!!!!!!! Watz mh
 
Sio kila kitu kitaanikwa hadharani. We are manufacturing our own fighter jets. Get relaxed.
 
Mambo ya Jakaya Mrisho Kikwete hayo.

Kagame aseme su! kama hatujaenda kukachukuwa ka-nchi chote kale kwa masaa 6 tu.


Ndio maana alimpeleka Shimbo China kuwa balozi ili waongezee TRILLION walizoficha na hiyo 10% kutoka kwemye hizo ndege za kivita.
 
Kweli kabisa. Na ukichukulia kwamba Kenya wana F-15E na Mi-28 Attack helicopters, Tanzania wana weakest airforce by far, kulinganisha na majirani zetu.
Mkuu Airforce za kwetu Afrika ni kwa ajili ya straffing tu na si kushinda mapambano.
La sivyo kwa Airforce nzuri ya Kenya wangekuwa wameshawamaliza Al Shabab.
 
JWTZ ni ngumu kuwajua walichonunua, wanachomiliki au wasichomiliki; sababu ya usiri uliopo. Kuna documentary nimewahi kuona mama (mzungu) alikuwa anafanya utafiti juu ya mahusiano ya TZ na Israel na TZ na Parestine aliwahoji watu wengi nakumbuka hadi akna Ulimwengu na Lipumba, alifanikiwa katika taarifa nyingi kisiasa na kijamii lakini kijeshi hakufanikiwa na Alikiri kuwa hakufanikiwa kujua mchango wa Israael jeshini kwa sababu ya usiri uliopo. Kuna uzi nliuona wachangiaji wanahangaika kupata wasifu wa Twalipo na Kihwelu, sasa itakuwaje silaha.
Jeshi alilolianzisha Mwalimu 1964, hakuna kujigamba wala nini.
Jamaa wamelielwa (hasa Goma huko) kwa kula kisago kimya kimya!!!
 
Mkuu Bongolander sukhoi na J-7G ni ndege mbili tofauti kabisa.Sukhoi inatengenezwa Russia ni 4 generation hata Marekani,Ukraine,Algeria,Ethiopia,China na Russia wanazitumia. J-7 hii ni mchina ni ndege ya zamani kidogo ilianza kutengenezwa miaka ya 80s kwa sasa hata mchina mwenyewe hazitumia technoligia yake imepitwa na wakati labda kama watakuwa wameimodernise ili kuendana na wakati.

Ungejua jinsi sukhoi zilivyo ovyo, afadhari hata tungeendelea na Mig, wenyewe wanatengeneza halafu wanasema haya madege mabovu tutawauzia waafrika.
 
Last edited by a moderator:
Hazina tofauti.
Kuna mtu nimeona ameziita interceptor kama kuzitofautisha na Fighters yaani F-15,F-16 nk lakini nadhani ni kutojua kwa nini J-7G zinaitwa pia interceptor. J-7G ni version ya MIGs na ziliitwa hivyo wakati wa Cold War kwani zilikuwa na kazi kubwa ya ku intercept fighters za NATO. Lakini kiukweli nazo pia ni fighters kama zilivyo F series na zote zina uwezo mkubwa wa ku perform bullfighting. Tena hizi Mig zinasifiwa sana kwa Air Defence and Air superiority in general mpaka sasa. Kundi lingine la ndege linaitwa Attackers au A series,mfano A-10 attacking planes.Hizi kazi yake kubwa ni ku attack specified ground targets kama majengo,magari,vifaru,meli nk. Huwa si special for aerial/air to air fighting. Lakini habari zinasema kuna wataalamu wameshaunda ndege ambayo ni combination ya fighters na attackers zinaitwa F/As series. Kwa maelezo haya nadhani bado tuko vizuri tu kama tumechukua new J-7G sababu what we need more is superior air defence!
Umeelezea kwa mtitiriko mzuri; unafaa kua mwalimu
 
Umeelezea kwa mtitiriko mzuri; unafaa kua mwalimu
Kidogo mkuu. Kuishi ni kujifunza. Jf kidogo mtu unachojua ni vizuri ku share knowledge na wenzako. Thanks,
 
TPDF(JWTZ) Commando Training-Level 3:
[video=youtube_share;YbkK-VDBlMg]http://youtu.be/YbkK-VDBlMg[/video]

Picha imepigwa kwa simu quality sio nzuri sana.....:sick:
 
TPDF(JWTZ) Commando Training:
[video=youtube_share; YbkK-VDBIMg]http:// youtube/YbkK-VDBlMg[/video]

Picha imepigwa kwa simu quality sio nzuri sana.....:sick:

Hao ni level 3 commandos in the making, 92kj
 
Tanzania mtu ukikutwa umetengeneza Bunduki yako unafungwa wakati wenzetu wanawaendeleza wananchi wao na ndio maana tunanunua hizi ndege kwao,tumekufa kifikra na tuna utegemezi kwa kila kitu.
 
Mkuu Bongolander sukhoi na J-7G ni ndege mbili tofauti kabisa.Sukhoi inatengenezwa Russia ni 4 generation hata Marekani,Ukraine,Algeria,Ethiopia,China na Russia wanazitumia. J-7 hii ni mchina ni ndege ya zamani kidogo ilianza kutengenezwa miaka ya 80s kwa sasa hata mchina mwenyewe hazitumia technoligia yake imepitwa na wakati labda kama watakuwa wameimodernise ili kuendana na wakati.

Thanks mkuu, lakini still tunatakuwa kujimodernise zaidi, 2013 tumepokea ndege ambazo ni obsolete hata China wenyewe hawatengenezi tena. How come mtu anakuja na kuanza kusifu, ukiangalia hiyo quote unaweza kuona wazi kabisa kuwa ni mkenge. Isingekuwa vibaya kama tungenunua systems za kufaa kutoka Ulaya au Marekani.

" an upgraded Chinese copy of the MiG-21, the J-7G can reach a maximum speed of 2 200 km per hour and has a radius of 850 kilometres.
The J-7G features a Chinese-made KLJ-6E radar, which has replaced the French-made Selex Galileo Grifo 7 radar featured on earlier models of the J-7 such as those which were exported to Namibia and Nigeria in 2009 and 2010 respectively.
 
Mkuu Bongolander sukhoi na J-7G ni ndege mbili tofauti kabisa.Sukhoi inatengenezwa Russia ni 4 generation hata Marekani,Ukraine,Algeria,Ethiopia,China na Russia wanazitumia.
Maelezo mazuri isipokuwa Marekani hawatumii Sukhoi, kama wanazo ni kwa ajili ya training practise ili kujua strength/weaknesses zake. F-35 ndio future backbone ya US airforce. Kwa sasa ni F-15 Eagle.
 
Tanzania mtu
ukikutwa umetengeneza Bunduki yako unafungwa wakati wenzetu
wanawaendeleza wananchi wao na ndio maana tunanunua hizi ndege
kwao,tumekufa kifikra na tuna utegemezi kwa kila kitu.
ukivamiwa na majambazi yanatumia bunduki ya kienyeji inayotumia risasi za kawaida eti ooh waziri ajiuzuru kama nyie vichwa vumbueni dawa ya ukimwi sio mabomu na bunduki
 
Back
Top Bottom