Tanzanian Air Force takes delivery of 14 new J-7G fighter jets

Tanzanian Air Force takes delivery of 14 new J-7G fighter jets

Nchi nyingi zilizo tuzunguka chomvu tu,wao wenyewe wanapigana wao kwa wao.TZ spy mpaka uswahilini wengine hata awalipwi wanajitolea tu.sioni hata nchi inayoweza kusimama na tanzania kivita kati ya hizi zinazo tuzunguka.kwanza sisi sio wachokozi ila ukilianzisha ndo utatujua vizuri
 
Nchi nyingi zilizo tuzunguka chomvu tu,wao wenyewe wanapigana wao kwa wao.TZ spy mpaka uswahilini wengine hata awalipwi wanajitolea tu.sioni hata nchi inayoweza kusimama na tanzania kivita kati ya hizi zinazo tuzunguka.kwanza sisi sio wachokozi ila ukilianzisha ndo utatujua vizuri

Kumbuka mabomu yalivyolipuka Gongo la Mboto Askari wetu walikimbia Kama kuku na kuacha kambi bila ulinzi!!
Tungekuwa na intelligence nzuri then American embassy isingelipuliwa mwaka 1998. Wanyamapori wasingepakiwa kwenye ndege tena wakiwa hai!!
 
huo ndo ukweli ,kandarasi za mauziano ya silaha kubwa kama ndege,meli,makombora huwaga sio hata siku moja ..hizo ndege za mchina ni copy ya Mig21 ya mrusi.

Haziwezi pambana na ndege kama sukhoi ambazo ni more advanced and multirole.


Kweli kabisa. Na ukichukulia kwamba Kenya wana F-15E na Mi-28 Attack helicopters, Tanzania wana weakest airforce by far, kulinganisha na majirani zetu.
 
Nafasi ndogo ila ningependa nitoe mchango wangu kuhusu masuala ya ndge vita maana naona kama kuna gap kidogo katika uelewa. Kwa kifupi kuna Ndege zina uwezo wa kubeba Air to air missile yaani uwezo wa kushambulia ndege nyingine angani, hizi huitwa Interceptors na zina uwezo wa kufanya Air defence kwani zinazuia mapigo kutoka angani. Kuna ndege zenye uwezo wa kushmbulia target za ardhini, hizi uitwa attack aircraft. mara nyingi interceptors hufanya pia attack role. Mig series ni toleo la kirusi ambazo hufanya pia interceptions kutegemea na aina ya series. Nasikia kwa sasa kuna mig 32. Ni darasa lefu sna.
Hazina tofauti.
Kuna mtu nimeona ameziita interceptor kama kuzitofautisha na Fighters yaani F-15,F-16 nk lakini nadhani ni kutojua kwa nini J-7G zinaitwa pia interceptor. J-7G ni version ya MIGs na ziliitwa hivyo wakati wa Cold War kwani zilikuwa na kazi kubwa ya ku intercept fighters za NATO. Lakini kiukweli nazo pia ni fighters kama zilivyo F series na zote zina uwezo mkubwa wa ku perform bullfighting. Tena hizi Mig zinasifiwa sana kwa Air Defence and Air superiority in general mpaka sasa. Kundi lingine la ndege linaitwa Attackers au A series,mfano A-10 attacking planes.Hizi kazi yake kubwa ni ku attack specified ground targets kama majengo,magari,vifaru,meli nk. Huwa si special for aerial/air to air fighting. Lakini habari zinasema kuna wataalamu wameshaunda ndege ambayo ni combination ya fighters na attackers zinaitwa F/As series. Kwa maelezo haya nadhani bado tuko vizuri tu kama tumechukua new J-7G sababu what we need more is superior air defence!
 
Suala si wingi wa ndege bali uwezo wa Air Defence yenu.kama ni weak mnaweza pigwa hata na cesna.
 
Kwa wanaojua mabomu yanavyofanya kazi sidhani kama wangesimama kusubiri yawalipoukie. Hii ndiyo tabaia ya wati wengi kukimbilia eneo lenye mlipuko. Ulitaka wasubiri pale? Issue ya ubalozi wa marekani waulize wamerekani wenyewe ambao wanadai ni super power kwenye intelligence. Lazima gap liwepo kaka. Intelligence siyo rahisi kama unavyodhani.
Kumbuka mabomu yalivyolipuka Gongo la Mboto Askari wetu walikimbia Kama kuku na kuacha kambi bila ulinzi!!
Tungekuwa na intelligence nzuri then American embassy isingelipuliwa mwaka 1998. Wanyamapori wasingepakiwa kwenye ndege tena wakiwa hai!!
 
Hivi hizo F 15 E mnajua sifa yake? Zipo ngapi? Mbona siku ya mashujaa wa Kenya hazikuruka? Hivi mnajua concept ya Air Force?f
Kweli kabisa. Na ukichukulia kwamba Kenya wana F-15E na Mi-28 Attack helicopters, Tanzania wana weakest airforce by far, kulinganisha na majirani zetu.
 
ufafanuzi unatokana na hii hoja:
..."Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete] you just heard siding with Interahamwe and FDLR and urging negotiations… negotiations? Me, I do not even discuss this topic, because I will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place and I will hit you! He[Tanzanian President Jakaya Kikwete] did not deserve my answer. I did not waste my time answering him…It is well known. There is a line you cannot cross, there is a line, a line that you should never cross. It is impossible…"

i think kagame hahitaji kutuumiza kichwa, sidhani kama alitimiza lengo la kutu-hit au imebaki ahadi tu?.

 
Huyo kikwete wako siamini kama anajua tofauti ya kilichonunuliwa na kilichokuwepo. Inawezekana kapewa yale yale ya zamani yakiwa yamebadilishwa canopies tu!

Kama unabisha leta chokochoko basi kama kagame anazoleta congo
 
Back
Top Bottom