Tanzanian President John Magufuli expected in the country Monday

Uku jf nikutambiana nakurushiana maneno kama gengeni ....mada zinatolewa +ve comments zinakua chache pumba nyingi na mapovu yasionasababu...
Sijui ndio tabia za watu warika moja au shida iko wapi. . . ..threads by nyingi kila kitu mtu anatengeneza Uzi. ..
Utafika mda ata mtu akilaatatengeneza Uzi sasa na kupost picha.....embu tubadilike guys tabia za ajabu za nn??
 
Asome tu hotuba atayo andaliwa asije kututia aibu...
Pia mambo ya kuomba ajengewe msikiti na kiwanja asirudie tena.
 
kama ulikua hujui huku kenya kuna katiba mpya.... amayo inamhitaji rais kutangazia na kujulisha wakenya (hata kabla kuulizwa) chochote muhimu anachofanya kwa siku ambacho kinahusisha kenya, akishindwa kufanya hivyo basi mkenya yeyote ana haki ya kumpeleka rais mahakamani, kwahivyo ukiona rais anatumia social media kujulisha wakenya nini anachofanya usifikirie ni kwa sifa pekee....
 
Sio wote wanaokwambia wewe mzuri wanamaanisha hivyo, wengine wanakucheka rohoni.
 
Nasikia wengi wenyu mtajipanga kwa Barabara kupiga nae selfie.

kadoda11
Hapo siwezi bisha, kwa kweli Wakenya wengi wasiojua hali na siasa za Bongo, wengi wanotegemea kusoma magazeti magazeti watamshabikia sana Magufuli. Hususan mashabiki wa Raila maana ana uswahiba na Magufuli. Lakini kwa wale tunajua mlivyo na jinsi maisha yamekua magumu kwenu, huku Magu akilaumu eti ni kwasababu mumeficha pesa kwenye magodoro, hatuwezi kuwa na muda wa kuhangaika na hayo maselife unayoyasema.

Magu alipoingia mwanzo nilijua atatenda, na kwamba ana mikakati. Ameishia mikwara tu na kushtukiza shtukiza huku ameandamana na wana habari, hayo mambo ya kusaka umaarufu tu. Sasa hizo habari ndio huwafikia Wakenya huku wengi wanona kama kweli anafanya mambo.

Mafisadi waliotajwa kwenye kashfa nyingi kama IPTL, ESCROW n.k. bado wapo wameshikilia nyadhifa kwenye uongozi. Yeye amefuata samaki wadogo wadogo. Kuna ripoti niliisoma ya Zitto kabwe nikajua kweli bado mnalo.
 

unatabia za kike, au mwanaume shoga.
 

MK254,
Ndiyo maana mnatakiwa kutembelea sana Jamiiforums mpate habari za kina na za uhakika kuhusu hali halisi za nchi za Afrika Mashariki na Kati.
 

ivi ww ni mwanasiasa au? naona unaaza kuingiza siasa hadi unahama mada, Magu haji kufanya siasa huko, anakuja kikazi zaidi, naona unahoma ya uchaguz wenu wa mwakani,
 
4:1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…