Lilambalyakwilole
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 1,100
- 649
MK254,
Ndiyo maana mnatakiwa kutembelea sana Jamiiforums mpate habari za kina na za uhakika kuhusu hali halisi za nchi za Afrika Mashariki na Kati.
ivi ww ni mwanasiasa au? naona unaaza kuingiza siasa hadi unahama mada, Magu haji kufanya siasa huko, anakuja kikazi zaidi, naona unahoma ya uchaguz wenu wa mwakani,
Lol..Where did he get his richness.[emoji16]Yeah and of all presidents and kings in africa he is the richest statesman ....riche than the morrocan king FYI ....
Hivi wewe una akili au ukikaa na akili zako unakalia makalioni?Ahutubie kwa kimombo ili awavunje mbavu zaidiii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kadoda11
Hapo siwezi bisha, kwa kweli Wakenya wengi wasiojua hali na siasa za Bongo, wengi wanotegemea kusoma magazeti magazeti watamshabikia sana Magufuli. Hususan mashabiki wa Raila maana ana uswahiba na Magufuli. Lakini kwa wale tunajua mlivyo na jinsi maisha yamekua magumu kwenu, huku Magu akilaumu eti ni kwasababu mumeficha pesa kwenye magodoro, hatuwezi kuwa na muda wa kuhangaika na hayo maselife unayoyasema.
Magu alipoingia mwanzo nilijua atatenda, na kwamba ana mikakati. Ameishia mikwara tu na kushtukiza shtukiza huku ameandamana na wana habari, hayo mambo ya kusaka umaarufu tu. Sasa hizo habari ndio huwafikia Wakenya huku wengi wanona kama kweli anafanya mambo.
Mafisadi waliotajwa kwenye kashfa nyingi kama IPTL, ESCROW n.k. bado wapo wameshikilia nyadhifa kwenye uongozi. Yeye amefuata samaki wadogo wadogo. Kuna ripoti niliisoma ya Zitto kabwe nikajua kweli bado mnalo.
Yeah and of all presidents and kings in africa he is the richest statesman ....riche than the morrocan king FYI ....
Hivi waeza orodhesha hao viongozi wa IPTL na ESCROW waliopo madarakani?
kwanini inakua muongo sana? Sisi tunaishi maisha magumu? Hayo ya Kenya utayaitaje? Rioort ya Daily nation reveals kwamba 8 out ten Kenyan huenda bed wakiwa na njaa or hawajala vizuri.
Ugali tu ni matatizo. Chakula ni luxury Kenya.
I have never been to tanzaniaKwenye hii section ya Kenya most of Kenyans ni wazamiaji aisee, they eat and enjoy life in Tz, I have discovered..
This guy seats next to the masai market ama huduma centreKumbe yule mlemavu alikua anahudumiwa kwa ukarimu pale duka la safaricom nakuru alikua katoroka tanzania soma kisa nini
View attachment 426411
A Safaricom customer care attendant from Nakuru who on Tuesday went down on her knees to assist a disabled person has been appreciated by CEO Bob Collymore.
Pauline Shamola's photo was captured by a passerby has been trending on social media since Tuesday, winning praise and appreciation from many.
In the photo, Pauline is seen kneeling down next to 52-year-old William Kisumo, who had visited the centre to make a purchase.
Ealier in the week, National Council for Persons with Disability Chairman David ole Sangok visited Pauline at the care centre and showered her with a Safaricom branded cake and two NCPWD branded t-shirts.
Sangok promised to reward Pauline with a certificate for her exemplary service to a deserving person.
Safaricom CEO Bob Collymore in a meeting with Nakuru-based Safaricom attendant Pauline at the Safaricom offices in Nairobi, October 29, 2016. /COURTESY
Pauline could not hold back her tears, as Sangok commended her for assisting Kisumo. But she did not address the media.
Kisumo, a father of six and a beggar along Kenyatta Avenue in Nakuru town, lost his lower limbs.
He told journalists that poverty drove him from Tanzania, adding that although he has knowledge in leather work, he has no capital to start a business.
Safaricom attendant who touched customers' hearts meets Bob Collymore
eh, habari ya nakuruThis guy seats next to the masai market ama huduma centre
Anakuja kuomba msaada
Nairobi iko TZMwaka mzima, Magufuli no show in Kenya. Mara ngapi Kenyatta amekuja TZ same year?
Kenya downplays Magufuli no-show
Hapa ndipo napowasifu Wakenya.. Mko vizuri sana kwenye customer care na wajanja mnoKumbe yule mlemavu alikua anahudumiwa kwa ukarimu pale duka la safaricom nakuru alikua katoroka tanzania soma kisa nini
View attachment 426411
A Safaricom customer care attendant from Nakuru who on Tuesday went down on her knees to assist a disabled person has been appreciated by CEO Bob Collymore.
Pauline Shamola's photo was captured by a passerby has been trending on social media since Tuesday, winning praise and appreciation from many.
In the photo, Pauline is seen kneeling down next to 52-year-old William Kisumo, who had visited the centre to make a purchase.
Ealier in the week, National Council for Persons with Disability Chairman David ole Sangok visited Pauline at the care centre and showered her with a Safaricom branded cake and two NCPWD branded t-shirts.
Sangok promised to reward Pauline with a certificate for her exemplary service to a deserving person.
Safaricom CEO Bob Collymore in a meeting with Nakuru-based Safaricom attendant Pauline at the Safaricom offices in Nairobi, October 29, 2016. /COURTESY
Pauline could not hold back her tears, as Sangok commended her for assisting Kisumo. But she did not address the media.
Kisumo, a father of six and a beggar along Kenyatta Avenue in Nakuru town, lost his lower limbs.
He told journalists that poverty drove him from Tanzania, adding that although he has knowledge in leather work, he has no capital to start a business.
Safaricom attendant who touched customers' hearts meets Bob Collymore
Unaichukia sana Tz eehI have never been to tanzania
Laa Nachukia waTZ walio JF wanao chukia wakenya bila sababu ....ingekuwa wasomali singe bother but what has kenya done to deserve all this hate from Tanzanians??Unaichukia sana Tz eeh
Na hao watanzania wanaochukia wakenya ni wapuuzi tuLaa Nachukia waTZ walio JF wanao chukia wakenya bila sababu ....ingekuwa wasomali singe bother but what has kenya done to deserve all this hate from Tanzanians??