Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

hhhahhaaaaaaahhha!!;
mcheza mielekaaaa!!!
 
Ni kweli process iko mahakaman hata Mange kakili
 
Nashangaa kuona wanawake wanafurahia
Mwanamke mwingine kuteseka. Kwanza Mlijuaje
Kama yeye kaachwa labda ndie alie acha.
Hakuna anayefurahia sema shimo alilowachimbia wenzie sasa katumbukia mwenyewe. Inaonekana huwaga hutembelei page yake IG jinsi anavyoingilia mahusiano ya watu
 
Nimesikia naye Mange kaambiwa atafute kazi mkuu,vp hapo inakuwaje?
 
Basi Mange ye alikuwa akidai kuwa eti mumewe na wakwe zake walikuwa wakifurahi Mange kutajwa tajwa mitandaoni,eti walifurahi mtoto wao ameoa mtu maarufu
 
Hakuna anayefurahia sema shimo alilowachimbia wenzie sasa katumbukia mwenyewe. Inaonekana huwaga hutembelei page yake IG jinsi anavyoingilia mahusiano ya watu
Sina tabia ya kufuatilia maisha ya watu.
Ila mkileta hapa ni story nyingine.
 
Daaah vibaya hivyo
 
Kaanza na Zari, sasa Zari ajiandae kudhalilishwa kwa mara nyingine tena, ile video yake akiji nanihii kwa kutumia nake massage lazima Mange aiweke hewani leo. Dah! Kazi kweli kweli, ngoja tuangalie ligi sie. Nifah cme on banah! Why unasema now huna mzuka na JF au umehamia insta na wewe.?
 
Hata afanyeje hakuna litaloweza kumrudishia mume, those are last kicks of dying horse.
 
Hata afanyeje hakuna litaloweza kumrudishia mume, those are last kicks of dying horse.
Ni kweli ila mwenye yake mitandaoni inabidi awe na subira kwa huyu mwanamke maana Mange hafai si kwa mboga wala chakula, unaweza jifariji ukaumizwa zaidi.
 
Kwa hiyo Mange akipewa taraka nyie inawahusu nini!? Kujadili maisha ya watu au mmekosa shughuli za kufanya? Na wanaume wengi wanaofurahia huu upuuzi ni mashoga tu.. Je wakati anaolewa aliwahusisha?
 
Kwa hiyo Mange akipewa taraka nyie inawahusu nini!? Kujadili maisha ya watu au mmekosa shughuli za kufanya? Na wanaume wengi wanaofurahia huu upuuzi ni mashoga tu.. Je wakati anaolewa aliwahusisha?
Umepotea njia, hili ni jukwaa la kujadili WATU, au wewe ukisikia celebrity unafikiri ni umaarufu wa mbogamboga? Kuna jukwaa linajadili vyakula kapitie huko maana inaonekana unatumia sana tumbo badala ya kichwa.
 


well said
 
Ni kweli alikuwa anakoseaa I was Among those who wanted her to suffer..but let us give her a second chance..Mimi sijapendaa yule mzimbabwee anachofanya Hata kama Ni Adhabu siyoo ya aina iyo..imagine mumeo Hata mwezi haujaisha toka TALAKA lakini mapichaa mitandaoni..Mume anaumaa..Kama kujifunza Mange kajifunzaa but tusiendee mbali sana kama afanyavyoo yy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…