Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

Ungeandika tu kwa kiswahili, maana, Mara defarming , Mara nini, yani ata kukaa nje hakujakusaidia zero English.
 
Wasiojua kiswahili hawana mambo ya umbea sema mnawalazimisha tu kwa kuwatafsiria.
 
Mangee mangeee mangeee mangeee hiyooo Gadem...she is finished now!!!Utalipwaa hapa hapa Duniani ila naomba usijinyongee tu Tushuhudie Unavyodharirika..Na.Utadharirika ivi vihela vikiisha..shit!!!
 
imenibidi nitafute mkalimani anitafsirie dah sorry but nimegundua yaliyoandikwa humu hayakuwa yananihusu...ni ya mange yanamuhusu mange na familia yake...najisikitikia kusoma kitu kisichonihusu
 
Divorce marekani dili lazima akamate 50% ya assets plus monthly child support plus alimony, she's set for life!
Divorce mwanaume kakomoa. Karudio US eti kajiandikisha kusoma. So he is giving her studying allowances. Nyumba ni ya wakwe so no property at all. Lance is too smart for her. Ataambulia study allowance for the coming 4 years. Then he will start working watoto washakua na Mange atakuwa kaolewa na kuachika mara kumi hivi...
 
If ONLY the husband was rich! Have you seen how he pays her monthly? You'll feel sorry for her.
Anamlipa 200 dollars per month. halafu analeta vitu vyote over the weekend I heard. Dada zake Mange nao wana midomo kama cherehani za vikapu. Wanamsema sana mdogo wao wa kambo. Lakini to be fair wanataka afungwe huku bongo mana US hawataweza muona.
 
Hivi Mange anawaumiza kichwa eeh!!? Sasa akitarakiwa wewe unadhurika au kufaidika nini ??
 
Hahaha jamani hii ni vita gani huwa haiishi? Kwanza siku hizi duniani watu wameachana na habari za kupigana na maugomvi wamewaachia ISIS bokoharamu na alshabab.
 
Hivi na kale katoto kadogo ka mwisho kwa marekani kanakuwa kamekua ila kwa Bara kanakuwa bado,
 
Mbona hii tabia haikua ya Mange tu ni watanzania wengi tulikua tunaimba Push up na sasa hivi Mikono shavuni hatuna hamu
 
Anamlipa 200 dollars per month. halafu analeta vitu vyote over the weekend I heard. Dada zake Mange nao wana midomo kama cherehani za vikapu. Wanamsema sana mdogo wao wa kambo. Lakini to be fair wanataka afungwe huku bongo mana US hawataweza muona.
uongo,dola 200 per month mtu ana watoto wawili,acheni uongo,walau hata mngesema kwa wiki ama kwa siku tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…