Dua la kuku hilo Loh hivi unaanzaje kupangilia mawazo ya kumtakia mabaya mtu asiye na hata robo ya kwapa lakoAnasubiriwa vibaya. DPP kacharuka vibaya. Akitua airport wala hatii mguu Serena. Mwisho wake utakuwaga pale Kisutu mahakamani. Ngoma ya bongo imemkalia vibaya. But let her come afungwe at least three years, aanze new life.
Arudi bongo sasa aje kututajia vizuri ile orodha ya wauza sembe.
😀😀😀😀😀Mzungu hana asset yoyote maana mange alishamkamua na starehe. Bad enough sasa hivi anaishi chini ya education loan na familia inasaidiwa na Babu na Bibi. Mzungu amebaki na sehemu zake za siri tu na vyeti vyake. Wanaume angalieni sana kwenye swala la kuoa. Mzungu amepukutishwa
uongo,dola 200 per month mtu ana watoto wawili,acheni uongo,walau hata mngesema kwa wiki ama kwa siku tatu[/QUOTE
Contrary to what I am reading,the Mange I know is far too clever-hii downfall ambayo wengi wanaifurahia will never materialise-she will rise again and walk on air-hapo sasa sijui merchants of doom mtajificha wapi???
Lol!!!!!kuna MTU Wa kumhurumia lakini si aina ya Mangee weweee Hakuna MTU alikuwa anamsapot Mange kuzidi marafiki zakeee kawavuaa nguoo .Mange Ana uwezo Wa kufufua Maiti Na kuzivika nguoo akaanza kuziongelesha kwa kuzisutaaaa Anaweza akamchafuaa mzazi wakoo kwa namna isiyotarajiwaaa..kwa nini watu huwa wanafungwa wakitenda kosa?ili wajifunze...same way kwa Huyu..tukisema tumhurumiee tumchekee atafanyaa MTU mwingine Si atahurumiwa???Acha Dunia infundishee!!Na ikibidi Isherehekee her Downfall!!Inasikitisha sana kwa kweli, huyu dada hata kama alikuwa na madhaifu yake lakini bado haitoi sababu ya kufurahia matatizo yanapompata. Hii ni dunia utamcheka mwenzio leo, kesho yako huijui. Tujifunze kulipa ubaya kwa wema, hata kama Mange alikukwaza mbadilishe tabia kwa kumuonyesha upendo na huruma. Mungu amsaidie huyu dada, I really pity her.
Inshu sio kumuombea kufungwa Inshu awe na adabu..Anasubiriwa vibaya. DPP kacharuka vibaya. Akitua airport wala hatii mguu Serena. Mwisho wake utakuwaga pale Kisutu mahakamani. Ngoma ya bongo imemkalia vibaya. But let her come afungwe at least three years, aanze new life.
Kasome sheria tena....Marekani? Kuchomoka kwenye hiyo 50% ni ngumu sana na hiyo child support na alimony ni monthly payment, child support mpaka mtoto afike 18 na alimony kama nusu ya muda wa ndoa so kama ndoa miaka 20 basi alimony unalipa miaka 10. Alimony inabidi imweke wife kwenye standard yake ya maisha ya ndoa so kama hana kazi umeunia hapo.
mkuu umenena vyema wazungu wapo straight sana , wanafanya vitu vyao kwa uhakika ndoo maana nilijua tu huyu granny lazima apigwe chini.Kwanza huyu mzungu alikuwa mvumilivu sana mimi siwezi kuoa mwanamke kama yule arudi Bongo tulisongeshe.
kwenye zile picha za juu ile moja ya kitandani zile hela hazizidi milioni 2 alafu kaweka na dola 10, 20, 5 , nyingiii ,sasa kweli analingisha dola 10, 20 ? !!!!!!.....huyu sijui msomi wawapi huyu.Kazidi kujidhalilisha kuweka yale ma chats yake na Mumewe... oupsss aliekua mumewe ....
yes hadi lusanjeni nan uyooo yaaan jf kila mtu maarufu je mwakalel anajulikana
Mkuu kuna interview ya Deo wa nirvana na Miriam Odema anasema alikutana na mumewe Afrika kusini ndo walikojuana sasa mumewe huyo hakujua kama huyo demu Odemba ni maarufu bongo sasa siku wamekuja Bongo ile wanatua airport watu wakaanza kumuangalia miriam Odemba mpaka mumewe akamuuliza mbona kila mtu anakutazama wanakujua , yeye akasema ndio wanamfahamu kwa sababu aliwahi kuwa miss hapa nchini .......Pole yyake mama Mashauzi ndoa mchezo????
Na hawezi olewa tena ndoo basi awe tu one night stand basi , maana hakuna namna ingine .kaolewa na mzungu yuko hivyo angeolewa na Hamisi fundi wa vitasa au Juma mzibua vyoo si ingekuwa balaa?? hawafugiki kwa kweli
malezi haya
kama ye alivofurahia matatizo ya wengineWabongo tunapenda sana kufurahia matatizo ya wengine
Kwa hiyo . ?Afrodenzi: Read the divorce paper. The first name (Lance vs. Mange) ndie anayeacha-Lance. Sorry I am a lawyer so I thought you should know. This one kaachwa. Period!
Divorce mwanaume kakomoa. Karudio US eti kajiandikisha kusoma. So he is giving her studying allowances. Nyumba ni ya wakwe so no property at all. Lance is too smart for her. Ataambulia study allowance for the coming 4 years. Then he will start working watoto washakua na Mange atakuwa kaolewa na kuachika mara kumi hivi...
do as i asked you[emoji23][emoji23] umenizimikia nini? [emoji23]