Na hawezi olewa tena ndoo basi awe tu one night stand basi , maana hakuna namna ingine .
Nyinyi wadada wanaume hawapendi kero, muwe mnajifunza .
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] fijooyes hadi lusanje
Msomi wa degree za "diploma mill" Dubai. Degree za kubabaisha hazina Market Marekani hizo.
Kwa hiyo . ?
Thanks.Mbona watu wanafurahi sana kusikia Mange ameachika?! Yes, Mange amekwaruzana na kutukanana na watu wengi tu mitandaoni... sasa hivi hawa wote wanaofurahia madhira ya Mange nao ni waathirika wa tabia za Mange au ndo yale mambo ya kununua kesi?! Hivi kwanini watu wanapenda sana other people's downfalls?
Btw, hivi kuachika ni jambo la ajabu?
'Denzi...most of these people look at divorce as if it is the end of the world when in fact, it is not.
To them divorce is akin to falling of the sky. It's like they can't see future beyond it.
I mean, so what if someone gets served with divorce papers?
Gee-whiz!
'Denzi...most of these people look at divorce as if it is the end of the world when in fact, it is not.
To them divorce is akin to falling of the sky. It's like they can't see future beyond it.
I mean, so what if someone gets served with divorce papers?
Gee-whiz!
No it's not the end of the world! But to someone who said she will NEVER get divorced, IT IS. And I know you know what I mean foreal foreal.
Sio simple kukwepa majukumu yako kama mnavyodhani, wanachukua forensic accountants wanaingia kila kola ya finances zako hakuna sehemu ya kuficha kitu chochote.
Kuna watu wanalipa hata 80-100% ya kipato chao na wakishindwa wanaozea jela. So hiyo idea kuwa amerudi kusoma haitamsaidia chochote.
Mzungu hana moyo ana emory card!Kwanza huyu mzungu alikuwa mvumilivu sana mimi siwezi kuoa mwanamke kama yule arudi Bongo tulisongeshe.
Ninafahamu dada mmoja wa kitanzania aliyetegemea ndoto kama hiyo lakini mambo yelipogeuka, alishindwa hadi akarudi Tanzania na mpaka leo sijui anaishije na watoto wake ingawa mme wake bado yupo hapa na baadaye alioa dada mmoja wa kiganda akiwa na watoto wawili naye. Jamaa yule alimwashia moto dada yetu kwa kuacha kazi kwa muda kidogo akiwa anaishi kwa wazazi wake kusudi asiwe na income ya kutoa child support na kulipia mortgage ya nyumba yao na magari hivyo dada huyo akakuta nyumba na magari yanachukuliwa na benki. Mwishowe ilifikia dada yule akaamua kukimbia kurudi bongo kwa hiari kwa vile maisha yaligeuka kuwa pilipili kwake.Divorce marekani dili lazima akamate 50% ya assets plus monthly child support plus alimony, she's set for life!
subutu pazma wamfanye kiislamu[emoji12] [emoji87]Arudi bongo sasa aje kututajia vizuri ile orodha ya wauza sembe.
ni mpare fulani anatukana mpaka marehemu........alikuwa mgombea wa ccm tehetehmkuu, mange kunambi ni nani na alimuoa nani na anakaa mtaa gani? kwa mtogole, mfugambwa, mama zakaria au bi nyau?
Inasemekana ndoa ya Mange Kimambi imefika ukingoni. Ni habari ya kusikitisha sana kwa wapendwa wake ila kwa wengine ni furaha isiyo na kifani