Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

Aisee!

Huyo dada Mange kweli anasumbua.

Anasumbua kuliko hata haja ya mabungo.

Yaani kamtu kamoja kanawasumbueni hivyo? I mean...really? Seriously y'all?

Hivi huwa inakatiza hata wiki kweli huyo mdada hajajadiliwa humu?
 
1468770976085.jpg
 
Aisee!

Huyo dada Mange kweli anasumbua.

Anasumbua kuliko hata haja ya mabungo.

Yaani kamtu kamoja kanawasumbueni hivyo? I mean...really? Seriously y'all?

Hivi huwa inakatiza hata wiki kweli huyo mdada hajajadiliwa humu?
Hiyo inashindikana sababu nayeye ana wa attack watu wengi hata mwezi hauwezi kupita bila kumtolea mtu maneno machafu
Alikuwa anajigamba haachwi mtu na akiachwa mumewe abebwi na kibedui yeyote cha kushangaza shoga yake alikuwa anamponda ndio kawa kipoozeo cha mumewe
Ndio maana unaona ligi ndefu hii
 
Hiyo inashindikana sababu nayeye ana wa attack watu wengi hata mwezi hauwezi kupita bila kumtolea mtu maneno machafu
Alikuwa anajigamba haachwi mtu na akiachwa mumewe abebwi na kibedui yeyote cha kushangaza shoga yake alikuwa anamponda ndio kawa kipoozeo cha mumewe
Ndio maana unaona ligi ndefu hii

I am starting to like her. She is really growing on me right now.

She is one strong gal and I can respect and appreciate that aspect of her.

That's not to say I approve of what she stands for or the beefs she's currently embroiled in. Not at all.

But man, she's a real toughie.

I mean, seems like everybody [now including her ex or whatever he is] is ganging up on her and she is all alone but no one is able to take her down.

If anything she's the one who is laying the smackdown on all comers. She is one-woman army personified!

I have never seen one person take on everybody and their mama and remain unfazed like she does.

Had it been anyone else they'd have probably folded like a cheap suit but not her.

She really can hold her own. That I'll give it to her.
 
I am starting to like her. She is really growing on me right now.

She is one strong gal and I can respect and appreciate that aspect of her.

That's not to say I approve of what she stands for or the beefs she's currently embroiled in. Not at all.

But man, she's a real toughie.

I mean, seems like everybody [now including her ex or whatever he is] is ganging up on her and she is all alone but no one is able to take her down.

If anything she's the one who is laying the smackdown on all comers. She is one-woman army personified!

I have never seen one person take on everybody and their mama and remain unfazed like she does.

Had it been anyone else they'd have probably folded like a cheap suit but not her.

She really can hold her own. That I'll give it to her.
Uache kushabikia watu wa ajabu huyu dada kachafua sana watu tena kwa sheria zile za mitandao zingeaza nae! Kaharibu sana mabinti wetu Dar!
 
I am starting to like her. She is really growing on me right now.

She is one strong gal and I can respect and appreciate that aspect of her.

That's not to say I approve of what she stands for or the beefs she's currently embroiled in. Not at all.

But man, she's a real toughie.

I mean, seems like everybody [now including her ex or whatever he is] is ganging up on her and she is all alone but no one is able to take her down.

If anything she's the one who is laying the smackdown on all comers. She is one-woman army personified!

I have never seen one person take on everybody and their mama and remain unfazed like she does.

Had it been anyone else they'd have probably folded like a cheap suit but not her.

She really can hold her own. That I'll give it to her.
Her breakdown is on the horizon-she is fighting wars on all fronts- even the USA can not do that
 
Her breakdown is on the horizon-she is fighting wars on all fronts- even the USA can not do that

I doubt it.

She is mighty impressive.

I have never seen one woman take on so many men and women, both at the same time, and still be able to kick their asses all over the social media terrain like that.

She is a warrior.
 
Mange shikamoooo yaan watu wotee hao lakin unawatoa kamasii,aiseee insta ni nooma jamani,ila Mange nooma kwa michambo sasq hivi Zari atachambwa mara mia heheheh
 
I doubt it.

She is mighty impressive.

I have never seen one woman take on so many men and women, both at the same time, and still be able to kick their asses all over the social media terrain like that.

She is a warrior.
Le-mutuz will skin you alive for heaping praise on this woman.By the way how can ur friend Le mutuz sink so low by engaging in mipasho with her
 
Yaani hapa naona nyota nyota tu! Sielewi kinacho endelea!!


Yaani huyu demu angekuwa maisha yake aliyawekeza hapa bongo angekuwa yupo mbali sana! Halafu kipindi cha awamu ya 4 alikuwa na connection nyingi tu za watu wa juu wa serikali iliyopita hzo chance angeweza kuzitumia vizuri angekuwa yupo mbali sana! Asingekosa hata special city pale bungeni! Ila nafasi kachezea


GOLDEN CHANCE NEVER COME TWICE

Tulikupenda ila ujinga umekupenda zaidi tutakukumbuka kwa upuuzi uliokuwa ukiufanya

Rest in Hell!!
 
Wajina sister upo??? Na zari anasheherekea huko snap chat kuachwa kwa mange
Nipo wajina uliadimika jamani..........

Wajina mie mtaa wa snap chat bado mgeni sana........mturushiage hapa tuone na sie.
 
Back
Top Bottom