Mimi hapa napita juu ,juu ya talaka. wachache wetu humu kama wawili watatu tuliyaandika ya kuachwa kwake mwisho wa 2014 na mwanzo wa 2015...kutokana na picha kumsoma...maneno yake aliyokuwa anajitahidi kujizuia bali ktkt ilionyesha analooooo
Ila Mange na ID zako zile ulijitahidi sana kujitetea humu, ukijua bomu litalipuka na lili lipuka.
Eeh umkome Zari, umkome nae kakupa za uso...mwenzio mgumu wewe huyawezi tafuta msaada haraka jinsi usivyo na simile utadumbukia chooni tu na wanao watachukuliwa. Lance juzi hapa ulijichoresha mwrnyewe kwa msg ulizitundika moja ex-mume mzungu akikuambia utafute kazi upate pesa za kuishi..pole...
Sasa hivi hata anuani yako inapatikana, unalo... Ila umecheka wengi, umejaribu kuvunja ndoa za watu wengi...yamekukuta sasa unajaribu kuvunja mapenzi ya wapendanao Zari na mumewe Diamond.
Uma wivu hadi kusaka mameneja eti wanauza ba**i, huku hao hao wanajitolea kusaidia wanamuziki waliodumbukia ktk majanga hayo kwa roho zao bila kyombwa...weee ulikomaje na kutoa post haraka...eehh tunasoma kwa kichwapanziiii
Mkome Zari, kumbuka alimkuta Diamond single na wewe ulichangia kushangilia wema kumuacha Diamond. Usitake kumachisha na wewe kuchukuliea ex-mume uliyekuwa bado unamlilia akurudie na hata ma akaunti feki instagram una komenti kwake.
Eeeh inauma eeeh tena rafiki yako, uliye kwenda nae eti Las Vegas kwa ajili ya bday yako, ukajifanya kuponda hata kwrnda lwrnye show ya Diamond... Kumbe hukujua nae ex mume atakufanyizia..kama ulivyokwenda kulala na mume wa mtu Atlanta, kijana wa kihaya na ikatoka e-mail ya kumsifia huku ulimwacha mumro then na watoto...
Pole umataka ndimu au ubuyu wa pilipili au mapera au picha za mzimbabwe aliyekuzidi akili tena shosti wako eeeh eti ulisema hupendi watanzania wewe na wazungu, wewe na akina nani tena wa nchi zingine...kiko wapi? Eeeh unaishi mji sijui mtaa mbantu peke yako...nini tena. Dawa moja nyoa mavuza yote yaote tena huku ukimuita jina....aaagh fix nimekutungia eti dawa uliyomwekea ya waganga iliisha pia?
*****
C&P hiyo hahahaaaaa
Kweli mkome Zari sio level yako...