sweetapple
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 533
- 461
Matola v/s Mange!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Useless degree from Tanzania.....inanshangaza
Mtapayuka sana na kuendelea kumjaza ujinga, mchawi wa Mange ni Mange mwenyewe, aachane na maisha ya watu na aishi maisha yake na Mungu atambariki. That's it!Shida ya Watanzania ni kupenda kuona mtanzania mwenzao aki lost au afe kabisa ,Kwan yeye atakua wa kwanza kupewa Talaka? Atakua single mom wa kwanza?
Maisha yataendelea tu there is always a way MangeKimambi kwanza hongera kwa kutangaza meenyewe ur divorcing mdada gan wa kitanzania anaweza fanya hivyo pili nawewe unaingia kwenye list ya wanawake waliowahi kuolewa tatu una watoto
Lol!!!!!kuna MTU Wa kumhurumia lakini si aina ya Mangee weweee Hakuna MTU alikuwa anamsapot Mange kuzidi marafiki zakeee kawavuaa nguoo .Mange Ana uwezo Wa kufufua Maiti Na kuzivika nguoo akaanza kuziongelesha kwa kuzisutaaaa Anaweza akamchafuaa mzazi wakoo kwa namna isiyotarajiwaaa..kwa nini watu huwa wanafungwa wakitenda kosa?ili wajifunze...same way kwa Huyu..tukisema tumhurumiee tumchekee atafanyaa MTU mwingine Si atahurumiwa???Acha Dunia infundishee!!Na ikibidi Isherehekee her Downfall!!
That's her life and she is the master of her domain. If she has decided to live her life in public so be it. She's an exhibitionist. Let her knock herself out.
Hata akijiua...so what? Suicides happen everyday. She won't be the first nor last.
Unajua kuwa hana hiyo social support? Hata kama hana, una uhakika anaihitaji?
We are not all wired the same. Just because you may not be able to handle it, doesn't mean she can't either.
But why is she the only one who needs to back off? Her haters don't? Come on now.
Well dooh! She is a woman after all, ain't she?
Usishangae watetezi wa Mange, maana hata shetani ana wafuasi.anayemtetea huyu dada ktk hili hamjui au ameliona hili jina kwa mara ya kwanza.. ana mdomo mchafu huyu mwanamke pppttuuu...
kifupi hafai, hata hvyo mzungu amemvumilia lol..
Usishangae watetezi wa Mange, maana hata shetani ana wafuasi.
Kwn Zari kama hana maelewano mazuri na Bi Sandra na Esma yy linamuhusu nini?Kwa hiyo Mange akipewa taraka nyie inawahusu nini!? Kujadili maisha ya watu au mmekosa shughuli za kufanya? Na wanaume wengi wanaofurahia huu upuuzi ni mashoga tu.. Je wakati anaolewa aliwahusisha?
The snake is already dead why should i use ....[emoji375] [emoji375] [emoji379]wanatetea ujinga aisee.. anapenda kudhalilisha watu sanaaa..
tena kuna kipindi humu ulifunguliwa thread alimtukana dada mmoja aliyekuwa rafiki yake mpk kaenda kunywa sumu, na bado alimcheka mwenzie kwa kiyendo hicho alichosababisha.. ningeuona huo uzi ingekuwa saaana..
pse matola, (mzee wa evidence uvumbue [emoji12] [emoji12] )
The snake is already dead why should i use ....[emoji375] [emoji375] [emoji379]
Tatizo sio kuwa tunapenda yale anayopitia na tatizo sio taraka au kuwa single mom,bali ni vile alivyokuwa akiwatreat wenzie kama takataka,unagombana naye ww ukoo mzima unatukanwaShida ya Watanzania ni kupenda kuona mtanzania mwenzao aki lost au afe kabisa ,Kwan yeye atakua wa kwanza kupewa Talaka? Atakua single mom wa kwanza?
Maisha yataendelea tu there is always a way MangeKimambi kwanza hongera kwa kutangaza meenyewe ur divorcing mdada gan wa kitanzania anaweza fanya hivyo pili nawewe unaingia kwenye list ya wanawake waliowahi kuolewa tatu una watoto
Haswaa ashike lake aone kama ataingiliwa nayeMtapayuka sana na kuendelea kumjaza ujinga, mchawi wa Mange ni Mange mwenyewe, aachane na maisha ya watu na aishi maisha yake na Mungu atambariki. That's it!
Tatizo sio kuwa tunapenda yale anayopitia na tatizo sio taraka au kuwa single mom,bali ni vile alivyokuwa akiwatreat wenzie kama takataka,unagombana naye ww ukoo mzima unatukanwa
Yaan kila kitu anajua yy,zaid alichokuwa akinikera ni kutokupokea maoni ya wengine,akipost kitu ukimkosoa tu unakula solex,muda mwingine anakurupuka tu ukimweleza ukweli kufuri. Yaani mshenzi sanaExactly. Halafu kama ana wivu hivi, hapendi kuona maendeleo ya kwa mwingine zaidi yake. Mqente akili yeye, mjanja yeye, mwenye bahati yeye, mwenye pesa yeye, mwenye watoto wazuri yeye, mwenye tabia njema yeye. Sasa kule kujisifia mkorofi ni dalili ya ujeuri na kiburi; na ndio kinachomponza.
What you tryna say?? She is hated by many through her bad behavior of bad mouthing everyone. You should stop praising her damn.