Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

Tanzanian socialite, Mange Kimambi apewa talaka rasmi

Huyu dada ananishangazaga sana wadau yaani mimi huwa simuelewi,utamkuta masaa 24 kazi yake ni kushinda kwenye mitandao ya kijamii ,mda wote yupo insta na wasap alafu naambiwa ni mke wa mtu khaaa..hata mimi naamini huyu mzungu alikuwa mvumilivu kweli kweli.
wakuu huyu dada kipindi cha kampeni kama mlikuwa mnafuatilia post zake instagram ni mitandao mingine ya kijamii kwenye account zake alikuwa mstari wa mbele kuishabikia ccm na huyuhuyu ndio aliyemsema lowassa kajinyea wala si mwingine,,lakini cha kushangaza juzi kati hapa...amekigeuka chama chake gafla na kuugeukia upinzani,,,sikuizi anajifanya kupinga chama chake ,now amefikia kumponda hadi magufuli aliyekuwa akimsifia kuwa ni dikteta na juzii nilimnukuu akisema kuwa wabunge wa ccm ni majipu......vilevile wakuu huyu dada namfananisha na mwanajeshi mwoga anayejifanya kupigania haki za nchi yake wakati yeye kajificha kwenye nchi ya adui
Huwezi pigania haki za nchi yako wakati unajijua umejificha kwenye nchi za watu
Huyu dada nna wasiwasi nae atakuwa anakula bangi au hana akili timamu
Subiri akanyage ardhi ya jk airport.
 
Wazungu sio kama waswahili, as long as mke anampenda, na anamhudumia, hawaingilii hobi au vitu mke anavyovipenda. Second Ukimwacha Mwanamke mwenye watoto wadogo US, seriali inavuta percentage fulani kwenye mshahara au mapato yaho straight na Kumpa huyo mama mpaka mtoto agikie miaka 21.

Na huchomoki hapo labda uthibitishe huyo mama ni Kichaa, mtumia madawa au analeta hatari kwa mtoto/watoto. Hivyo kuachwa msidhani ndio Kalost maisha. Na ukiwa na nyumba na Watoto na Mke ukamwacha, Unasepa wewe unawaachia nyumba Period! Wanawake wanalindwa hasa US na Rightfully so!
 
Mwanamme wake kashtuka. ..eti kaanza shule na anaishi kwa wazazi wake. ..sasa bills nani atalipa? Itabidi ajiunge na well fares. . $200 kwa wiki. ..na pia umekosea miaka ya mtoto mpaka afikishe 18 sio 21. 18 ni adult. ..21 ndio anarhusiwa kunywa POMBE. SHERIA AMBAZO ZIMEWEKWA katika nchi TUSIZI ABUSE. ..HIVI HIVI MTU ALIEONEWA MOLA ANAMPA MBINU NZURI ZA KUCHOMOKA
 
Mwanamme wake kashtuka. ..eti kaanza shule na anaishi kwa wazazi wake. ..sasa bills nani atalipa? Itabidi ajiunge na well fares. . $200 kwa wiki. ..na pia umekosea miaka ya mtoto mpaka afikishe 18 sio 21. 18 ni adult. ..21 ndio anarhusiwa kunywa POMBE. SHERIA AMBAZO ZIMEWEKWA katika nchi TUSIZI ABUSE. ..HIVI HIVI MTU ALIEONEWA MOLA ANAMPA MBINU NZURI ZA KUCHOMOKA


Sijakuelewa unamtetea Mange au mme wake?
 
Mkuki kwa nguruwe eti ee kwan mange hakumtukana marehemu pale?
Mkuki kwa nguruwe hyo vipi sasa,maana Mange katoa mabomu yote cjui ya kuzika wachina, sijui wachat ila Faiza alitoa nn cha kumdhalilisha Mange zaid ya story ya babake ambay ni zilipendwa tushaisikiliza mpk imetuchosha masikion.
 
Kama ni zilipendwa mbona ilimuuma sana mange(hatavwewe ilikuuma ndio maana unapanic hapa) aache upuuzi wa kutukania wenzie marehem wakat anajua ya kwake yapo wazi. Vipi kuhusu tu tako twa mange na faiza tupi tuzuri?[color]
Mkuki kwa nguruwe hyo vipi sasa,maana Mange katoa mabomu yote cjui ya kuzika wachina, sijui wachat ila Faiza alitoa nn cha kumdhalilisha Mange zaid ya story ya babake ambay ni zilipendwa tushaisikiliza mpk imetuchosha masikion.
 
Kama ni zilipendwa mbona ilimuuma sana mange(hatavwewe ilikuuma ndio maana unapanic hapa) aache upuuzi wa kutukania wenzie marehem wakat anajua ya kwake yapo wazi. Vipi kuhusu tu tako twa mange na faiza tupi tuzuri?[color]
Me inaanzaje kuniuma kwa mfano?!,kwan huyo babake mange nna undugu nae, Mange ingemuuma wakt wa Lemutuz sio leo kwa huyo changudoa wa wachati mwenye sura ngumu km anapondea kokoto.... Huyo faiza kwa matako gn pale,vitako km matonge ya ugali.
 
Hahahahaa povu lote hilo pole. Wapi faizally kiboko ya mange.
Me inaanzaje kuniuma kwa mfano?!,kwan huyo babake mange nna undugu nae, Mange ingemuuma wakt wa Lemutuz sio leo kwa huyo changudoa wa wachati mwenye sura ngumu km anapondea kokoto.... Huyo faiza kwa matako gn pale,vitako km matonge ya ugali.
 
Hahahahaa povu lote hilo pole. Wapi faizally kiboko ya mange.
Me inaanzaje kuniuma kwa mfano?!,kwan huyo babake mange nna undugu nae, Mange ingemuuma wakt wa Lemutuz sio leo kwa huyo changudoa wa wachati mwenye sura ngumu km anapondea kokoto.... Huyo faiza kwa matako gn pale,vitako km matonge ya ugali.
 
Kafuta kila kitu bibie mange huko insta sijui kapatwa na nini....
 
Back
Top Bottom