Tanzanians Show us your Estates

Tanzanians Show us your Estates

Kwa uthibitisho ni kuangalia percentage ya below poverty line kenya ni 43 % tz ni 26.8 % na kenya kuna wimbi kubwa la wasioajiriwa kuliko tz.na uthibitisho mwingine ni kutokuwalipa vzur wafanyakaz wa umma hususan madaktar.ilhal tz madkatar waliongezewa mshahara toka 2016 na magu na hukuwahi sikia toka magu aingie kwamba wafanyakaz wa umma wamegoma km kenya.
Hapo nimetoa relevance nzuri sana na real life yenu pinga sasa
Sasa umeamua kutoa povu. Nimekuuliza Swali rahisi Sana... Unaweza kudhibitisha kwamba Watanzania wanaishi maisha bora kuliko wakenya? Kama huwezi leta dhibitisho, afadhali unyamaza tu. Huo ndio mtindo hapa jf, ukileta madai lazima udhibitishe kutumia links
 
Kwa uthibitisho ni kuangalia percentage ya below poverty line kenya ni 43 % tz ni 26.8 % na kenya kuna wimbi kubwa la wasioajiriwa kuliko tz.na uthibitisho mwingine ni kutokuwalipa vzur wafanyakaz wa umma hususan madaktar.ilhal tz madkatar waliongezewa mshahara toka 2016 na magu na hukuwahi sikia toka magu aingie kwamba wafanyakaz wa umma wamegoma km kenya.
Hapo nimetoa relevance nzuri sana na real life yenu pinga sasa
Poverty line percentage in danganyika umesema ni ngapi 😂 😂 😂 👇 👇 👇 👇
numbers don't lie and the internet never forget. You are at 67.9%. Enda udanganye watoto wa chekechea
 
Kwa uthibitisho ni kuangalia percentage ya below poverty line kenya ni 43 % tz ni 26.8 % na kenya kuna wimbi kubwa la wasioajiriwa kuliko tz.na uthibitisho mwingine ni kutokuwalipa vzur wafanyakaz wa umma hususan madaktar.ilhal tz madkatar waliongezewa mshahara toka 2016 na magu na hukuwahi sikia toka magu aingie kwamba wafanyakaz wa umma wamegoma km kenya.
Hapo nimetoa relevance nzuri sana na real life yenu pinga sasa
World Bank puts Kenya's figure at 35%
Wewe hiyo yako ya 43% ulitoa Mwananyamala kwa kopa ama?
 
We kuku maji hyo takwimu ya mwaka 2012 mm sio mjinga.Unajua umaskin unapimwaje mpk hii below poverty line inatoka eti we mhaya wa kikuyu
Poverty line percentage in danganyika umesema ni ngapi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
numbers don't lie and the internet never forget. You are at 67.9%. Enda udanganye watoto wa chekechea
 
Nimeamin we beki tatu.
Takwimu za 2012 unazileta mwaka 2019.
Asee we ni bure kabisa
Poverty line percentage in danganyika umesema ni ngapi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
numbers don't lie and the internet never forget. You are at 67.9%. Enda udanganye watoto wa chekechea
 
Kenya is a country of many contrasts, from its landscape to demographics, and more so its social and economic inequalities. Kenya is one of the most unequal countries in the sub-region. Forty two percent of its population of 44 million, live below the poverty line.
Access to basic quality services such as health care, education, clean water and sanitation, is often a luxury for many people. Large segments of the population, including the burgeoning urban poor, are highly vulnerable to climatic, economic and social shocks. As such, progress on the Millennium Development Goals, especially in regards to social security, is mixed.
In 2010, Kenya enacted a new Constitution that specifically addresses longstanding historical, geographic, demographic and human rights violations that have hindered progressive development. Under the new dispensation, power was devolved from the National Government to 47 newly decentralized counties. Three years later Kenyans conducted fairly peaceful elections to vote in the National and County Government with expectations for equitable resource allocation and accountable service delivery. For UNICEF Kenya, this ultimately translates into the realization of all children’s rights regardless of their social or economic status.
However, historical patterns of inequity mean that there are also specific challenges. Based on analysis of inequities, UNICEF has identified the major deprivation issues that children face especially in already ‘disadvantaged’ counties. In order to realize the greatest results for children it is crucial to focus additional support to pl
World Bank puts Kenya's figure at 35%
Wewe hiyo yako ya 43% ulitoa Mwananyamala kwa kopa ama?
 
Kenya bwana....chapati kwao ni bidhaa ya anasa. Inauzwa sh. 50,

Kuna Mkenya akija huku hununua mchele mwingi anaondoka nao au anatuma kwa bus ya Dar Lux kwenda kwao.

Kenya maisha ni magumu sana.
 
wivu mbaya
Hapana wivu boss !! Ixo estate zipo vizuri lkn tambua hata bongo zipo estate kaliii sanaa ila usitegemee mtz akakutumia picha za estate ambazo yy haishi humo ....... Unless uje mwenyewe ijionee ila tambua tu estate zipo kaliiiii kibao tu
 
ummayed...eti unasema wafanyikazi wa serikali tanzania wanalipwa vizuri kuliko kenya....bwahahaaa..kisha eti ukawataja madaktari...yani kwanza kw madaktari usiguse...
 
A courthouse in Kibera
1118117
 
Kenya bwana....chapati kwao ni bidhaa ya anasa. Inauzwa sh. 50,

Kuna Mkenya akija huku hununua mchele mwingi anaondoka nao au anatuma kwa bus ya Dar Lux kwenda kwao.

Kenya maisha ni magumu sana.
Chapati na Ugali ni staple food Kenya. Na tena sh. 50 sio bei ya chapati. Chapati ni sh.10 Kenya. Kazi ndogo ndogo Kenya hulipa ksh.1000 kwa siku. Hata wale unaita maskini hutengeneza pesa mingi kuliko mtanzania wakawaida kwa siku ju kwa slums wao hulipa rent na inafaa kuwa ksh.3000 kwa mwezi. Watoto wao lazima waende Shule ju masomo Ni lazima Kenya. Hapo wanatumia 10k and above. In short....Kenya is a middle income country and way richer than Tz, it is only in Kenya where you find mtu anauza maindi Choma na anaendesha V8.You just can't compare a hustling nation with a lazy village nation.
 
Chapati na Ugali ni staple food Kenya. Na tena sh. 50 sio bei ya chapati. Chapati ni sh.10 Kenya. Kazi ndogo ndogo Kenya hulipa ksh.1000 kwa siku. Hata wale unaita maskini hutengeneza pesa mingi kuliko mtanzania wakawaida kwa siku ju kwa slums hulipa rent na inafaa kuwa ksh.3000 per month. Watoto wao lazima waende Shule just masomo Ni lazima Kenya. Hapo wanatumia 10k and above. In short....Kenya is a middle income country and way richer than Tz. Nairobi imejaa magari ju hata hao watu unaita maskini kwa slums humiliki magari. You just can't compare a hustling nation with a lazy village nation.
Stop being a lier bro. Kazi gani Kenya inalipa 1k iliyo ndogo. Wakenya msingekuwa mnakimbilia TZ kufundisha shule za English Medium kwa mishahara ya 300,000 TZS. Huo uzwazwa. Mimi siwezi kwenda Kenya nikafanya kazi ya 1million TZS.

Kenya kuna tabala la watu wachache sana wenye hela. Mtu anashindia githeri kwenye slums eti amiliki gari...loh. Rent ni 3000 hii hapa Tz ni zaidi ya elfu 60 napata chumba en suite modern kabisa maeneo potential ya mji. Kenya maisha ni magumu honestly. Jamaa alikuja kwangu Kibada nikamwambia hapa nalipa 300,000 TZS rent akashangaa. Anasema nyumba kama ile kenya ni 1mil TZS rent yake per month. Kenya maisha ni magumu.Uzuri wa Tz unaweza kuearn kidogo na ukaishi standard life. The case is different with Kenya.

Eti Kenya imejaa magari. Unachekesha wewe. Kenya kumiliki gari is very expensive....very expensive. Been to Nairobi several times na yule Mkenya rafiki yangu na ni manager pale Equity makao makuu anasema kila mara huku TZ gari mpya huuzwa cheap kuliko Ke.

Don't fool yourself. Wakenya mna shida.
 
Stop being a lier bro. Kazi gani Kenya inalipa 1k iliyo ndogo. Wakenya msingekuwa mnakimbilia TZ kufundisha shule za English Medium kwa mishahara ya 300,000 TZS. Huo uzwazwa. Mimi siwezi kwenda Kenya nikafanya kazi ya 1million TZS.

Kenya kuna tabala la watu wachache sana wenye hela. Mtu anashindia githeri kwenye slums eti amiliki gari...loh. Rent ni 3000 hii hapa Tz ni zaidi ya elfu 60 napata chumba en suite modern kabisa maeneo potential ya mji. Kenya maisha ni magumu honestly. Jamaa alikuja kwangu Kibada nikamwambia hapa nalipa 300,000 TZS rent akashangaa. Anasema nyumba kama ile kenya ni 1mil TZS rent yake per month. Kenya maisha ni magumu.Uzuri wa Tz unaweza kuearn kidogo na ukaishi standard life. The case is different with Kenya.

Eti Kenya imejaa magari. Unachekesha wewe. Kenya kumiliki gari is very expensive....very expensive. Been to Nairobi several times na yule Mkenya rafiki yangu na ni manager pale Equity makao makuu anasema kila mara huku TZ gari mpya huuzwa cheap kuliko Ke.

Don't fool yourself. Wakenya mna shida.
Kama haya ndio maisha mazuri TZ wacha nitulize tu kibera [emoji849][emoji90][emoji90][emoji86][emoji16][emoji16][emoji16][emoji116][emoji116]
tapatalk_1559499006252.jpeg
tapatalk_1559498998335.jpeg
 
Wewe mngekuwa mnalipwa vzur msingeweka mgomo embu ishi in reality huo wingi wa GDP unabakia serikalin ilhal social welfare kwenu mbovu
ummayed...eti unasema wafanyikazi wa serikali tanzania wanalipwa vizuri kuliko kenya....bwahahaaa..kisha eti ukawataja madaktari...yani kwanza kw madaktari usiguse...
 
Back
Top Bottom