joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
WamekimbiaaaaaaHehe Mijubilee imeingia mitini..Mmezoea hadaa za eti wao ndio tu wanajenga barabara..Kumbe bongo walijenga kitambo, kutembeatembea ni mzuri, utajionea mengi @ NDINDA Hongera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WamekimbiaaaaaaHehe Mijubilee imeingia mitini..Mmezoea hadaa za eti wao ndio tu wanajenga barabara..Kumbe bongo walijenga kitambo, kutembeatembea ni mzuri, utajionea mengi @ NDINDA Hongera
Na bado inaongezwa lanesBagamoyo roadView attachment 1096074
Tukiwaambia Tanzania sio level yenu mnadhani tunatania, sasa fungueni uzi wa Kulinganisha Hospitals kama hamtakimbia, Tanzania ni model country hapa East and Central Africa.Jengeni highway za nguvu,
Ni aibu hamna
Tanzania hakuna barabara kuna vipande vya lami, two years repairs zinaanza then mashimo unaweza kufichamaKenyans Mwambieni Uhuru a-invest kwa road infrastructure like TZ aache longolongo ya kuwapa hope ati Kenya inaenda uza Maparachichi Uchina!!!
Nikifanya diagnosis Microscopic view zile Barabara za County zilivyo ni hatari kwa Kenya Citizens!!!
Wakenya wamekimbia!New optional road, Arusha - Dom via Kondoa 329 kilometers
View attachment 1096458View attachment 1096459View attachment 1096460
Tumewapita kwa barabara zaidi ya kilometers 700Wakenya wamekimbia!
Zimetumwa mob acha kelele,moro-dodoma-iringa-mbeya-singida-tanga-Ruvuma-Mpanda -Rukwa-Tabora-Mwanza-Dsm-Klm-Manyaranaona road chache tu upand wa tanzania...yani chunya,mikumi,ngorongo...basi hzo picha zimetumwa karibia mia moja ya hzo tu...
Kunywa majiMnajivunia barabara wakati mnakufa na njaa.
Shame!!!
Thanks my ladyKunywa maji
mbona unarudia picha au njaa imetafuna akili?