Naimani1234
Member
- Jul 19, 2013
- 52
- 6
na leo feza amepata 5 nominations duh! kila housemate anatoa reason hiyo hiyo. dilish ameelezea vizuri kuwa feza initially was very focused,now she has changed alot ,all she is doing is to chill with his boyfriend,she is not the one they know.
Aende zake. Angebakia na kushinda mngenufaikaje? Angalieni mambo ya maana. Hiyo BBA mbona sio issue ya maana..
Ujiandae tena kufika JNIA kumpkea next monday coz ni target ya Africa by now by any means. So sad kwamba Babra alichukua watu wake anaowajua. Social aspect ya Wema sepetu hasa upande wa kuhusiana na watu sio mbaya kihiiivyo. Kwanini atupelekee watu wa aina ile?? sio kwamba alibadilika ila ndivyo alivyokuwa sema tu tabia ilikuwa bado kujionesha.
labda wema hakukidhi vigazo! na zile cellulites afrika wangemsemaje kwa kujichubua
Hahaha ila wangempenda tu kwa kale kasauti na how romantic she is. Wema anapendwa wewe pamoja na mchubuo wake
ile sauti ndo kabisa watu wangeona anaigiza!nakumbuka mwaka wa kina lotus na bhoke kuna mshiriki kutoka SA nkuli,alikuwa na kisauti chembamba alikuwa anakera afrika na wala hakukaa sana.
nadhani feza alichoshindwa ni kumantain lie tabia yake ya awali hata kama ni fake,angeigiza hivyohivyo...angekuwa kama dilish anavyopendwa sasa ingawa hana la lolote zaidi ya tabia njema,anaongea vizuri na watu na hana chuki na housemates,kila mtu anamwongelea vizuri,imagine hadi pokelo ambaye watu tulimwona very arrogant lkn yy alimsifia
dah kweli balaa,sijui anarudi lini tukampokee pale
Kipawa......
mmh sidhani kama atapitia pande hizi. nadhani ni moja kwa moja US. HAPA WALA HAJAWAHI ISHI
puleez
Uti aliwahi vunja chupa na kumtishia kumpiga nayo Kaone, alifukuzwa?
Was Karen Ighbo decent?Luclay aliyemvua karen suruali akabaki GoTi nje , alitolewa?
Kwa mtindo huu, Tanzania will never win mashindano ya nje, too judgemental kwa watu wake wakati wengine wanasapoti wao no maater what.
Kama alistahili kuwa disqualified, kwa nini wamesubiri hadi leo? Wangemtoa pale pale, remeber Lotus, DKB and Zainab, Maneta and Rocky.
Huwa hawaachwi hata dakika 1.
ndo maana ikaitwa reality show,kwamba unaonyesha maisha yako halisi unavyoishi in daily life.sitetei wanaokwenda lkn lazima ukubali watu tumelelewa kwenye maadili,imani na mazingira tofauti sana.
the show is rated 18 so wanaoangalia ni watu wazima,wanajua lipi jema lipi baya na ndo maana wengi wanaoondolewa ni wale wanao onyesha tabia zinazochukiza watu na wenye tabia zinazowapendeza watu wanabaki.
mshindi wa bba wa kwanza cherise makubale kutoka zambia ni dada aliyekuwa anajiheshimu sana na aliutangza vyema utamaduni wa nchi yake na afrika kwa ujumla
Please hebu twende taratibu....Me huyo dogo kaniboa sana yan analeta mambo ya uswahili katika show kubwa kama ile ametuaibisha sana watanzania
Please hebu twende taratibu....
Unaweza kutueleza kuna heshima gani tunaweza kuipata Watanzania kwa vijana wetu kushiriki haya mapambio ya shetani?
Mashindano yenyewe tu ni aibu tosha sasa sioni ulipoaibishwa wewe pa ziada, unless uniambie kabila lenu ngono siyo faragha.
Haya bana ukumbi ni wenu, freedom of speech....umesema unapita kimyakimya ili usiboe watu,haijapita hata mda ushasahau ulichosema!
unakuwa sirikali ya nji hii inaahidi hiki na kufanya kile wakidhan watu washasahau.....