Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ma bilionea wenzako watakutana kwenye msibaPole sana kwa wafiwa, Matajiri wa nchii tumepata pigo jingine kubwa ndani ya mwaka huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma bilionea wenzako watakutana kwenye msibaPole sana kwa wafiwa, Matajiri wa nchii tumepata pigo jingine kubwa ndani ya mwaka huu
Dah.....si ana warithi?Wahaya mna mambo,hawa wakina Mufuruki ingawa ni wahaya ila wanajiona zaidi kama wasukuma,maana wamezaliwa na kukulia Geita na mama yao pia ni Musukuma.
Kile kiwanja chake kikubwa pale Geita alichokijengea tu ukuta bila kukiendeleza miaka na miaka nadhani ni wakati muafaka kikagawiwa kwa wananchi
RIP the boss,ameacha watoto wa kike tu.
Sijui hata kwanini nimeandika suala hilo.
RIP the boss,ameacha watoto wa kike tu.
Sijui hata kwanini nimeandika suala hilo.
Acha uongo,ana mtoto wa kiume tena mdogo sana,sidhani hata kama kafikisha miaka 7 huyu mtoto,kwa mke wake Msomali hapa Kunduchi mtaa wa 170... Ni jirani yangu,so najua ninachoandika
Rest In Peace my good buddy!Huyu pia alichangia kufa kwa shirika la ndege la Tanzania
You never know, ARV may be
Sawa kabisa! Sasa ni vizuri tukiijua hiyo huduma.Huenda wanauza huduma mkuu, kuuza huduma ni biashara pia, consultancy services
Hii ndio maana halisi ya maisha, if you thought life was so meaningful, just think about death.
Pole kwa familia!
Kwani ni nani huyo Ally Mufuruki?
Apumzike kwa Amani.
Aliwah kutoka kwenye gazeti la Bang na familia yake akasema ana watoto watatu wakike .mabinti umri wa secodary hv! Basi kaongeza