Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alimfanyia kitu gani Hadi akamshukuru?Alimshukuru sana CAG aliyeondolewa walipokutana Airport JKI
Miamba inaanguka awamu hii ya 5, mazingira ya biashara ni mabovu sanaaaa, RIP Mengi
yeah tena wenye hela chafu akina mkono na rugemarilaInnallilah wainaillah rajiun
List ya Matajiri nchini sasa ni rasmi wamebaki Wahindi na Waarabu tu.....Labda na wana ccm wachache kwa mbaaali
Sorry mkuu hii Infotech inahusika na nini au wanahusika na biashara zipi?
Simjui mkuu. Japo jina si geni.Hearly said:Aisee... ni kweli haumjui?
Umemsahau prince wa Daryeah tena wenye hela chafu akina mkono na rugemarila
Shirima yupi huyo?Kuna mzee Shirima
Wakiume yupo mmojaRIP the boss,ameacha watoto wa kike tu.
Sijui hata kwanini nimeandika suala hilo.
Shirima yupi huyo?
Sorry mkuu hii Infotech inahusika na nini au wanahusika na biashara zipi?
Huwa naiona tu pale maeneo ya mikocheni ila sikuelewa inadeal na nini?
Hata top 20 hayupo mzee shirima,mambo yake yaliyumba kitambo ndio mana unaona kampuni inandege chache,istoshe hiyo kampuni ina wabia warombo wenzake mfano basil mrambaChairman wa Precision Air, Michael Shirima.
wakati familia ilikuwa kwenye mgogoro ndugu, na hizo hela zimeongezeka kutokana na lipi? wakati mengi kafa juzi tu hata mwaka hana...na migogoro ikishaanza ndio kwaheriKumbuka kwamba Mengi hakufa na ukwasi wake, wapo watoto na kampuni ile sasa ina hela zaidi ya wakati wa Mengi.
Sasa mkuu kazi za IT na printing na kuuza nguo zinaweza kumfanya mtu kuwa bilionea kumi bora Tanzania?Au Kuna vitu vingine zaidi ambavyo havijulikani?View attachment 1285339
Mkuu InfoTech awali ilikuwa inahusika sana na kazi za Ki IT na Printing ila kwa Sasa inafanya kazi nyingine za Real Estate na Maduka ya Nguo Partnership(WOOLWORHTS).
Google mkuu hiyo kampuni utaelewa vizuriSasa mkuu kazi za IT na printing na kuuza nguo zinaweza kumfanya mtu kuwa bilionea kumi bora Tanzania?Au Kuna vitu vingine zaidi ambavyo havijulikani?
Mkuu ALi ameanza Bizness Long Tym sana,InfoTech ndio ilikuwa inapata kazi za Printing zote za Serikali,ebu fikiria tu Bungeni wameondoa printing kwa sasa wanatumia ipad ambayo kwa mujibu wa bunge wameokoa MABILIONI ya Shiling yaliyokuwa yanapotea kwa printing.....Sasa hiyo ni Bunge tu!! Sasa InfoTech ilikuwa inapata kazi za printing na IT za Serikali imagine alikuwa anaingiza Tsh ngapi?Sasa mkuu kazi za IT na printing na kuuza nguo zinaweza kumfanya mtu kuwa bilionea kumi bora Tanzania?Au Kuna vitu vingine zaidi ambavyo havijulikani?