Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naanza kuhofia ilo!ila,uoni pia ata chadema watapata kichaka cha kujifichiamo iwapo,hawakuwa na mpango wa kuandamana?Duh, ila kweli ccm imeshapata sababu ya kuzuia UKUTA, wanaweza weka maombolezo siku mia moja!!!!!. Marufuku mikutano ya kisiasa tu mingine iendelee.
Kama sijakosea Alama Mohamed Said na Faraj Tamim wana mchango mkubwa katika kitabu cha Abood Jumbe.
Ni mapema mno, tusubiri.
Mzee Aboud Jumbe amefariki dunia muda si mrefu. Ni baada ya kuugua muda mrefu.
=======
UPDATE:
JamiiForums imethibitisha kutokea kwa msiba huu.
View attachment 381455
View attachment 381456
View attachment 381457
Aliyekuwa Rais wa pili wa Zanzibar (7 Aprili 1972 hadi 30 Januari 1984) Mwinyi Aboud Jumbe amefariki Dunia.
Mpigania Zanzibar wa kweliN'a siajabu ikawa siyo siku ya kazi,Ngoja utawasikiaaa wanafikiiiii wataanza
Teh Teh Vp unatafuta bas... Au Naona sindanoDada mrembo mrangi cheupe dawa, vipi upo mwezini mbona una hasira?
RIP Mwana mapinduzi wa ukweli!
Alipo apa kuwa Rais/Makamu wa Rais alipoteza haki hizo zote. Haki hizo kwa sasa ni za Taifa, na taifa litaamua kama alivyojikabidhi kwa taifa kipindi anaapishwa.Full stop.
huoni kuwa hatua hio yaweza kuwafaidisha hata upinzani?kwani waweza kuta wanapata muda wa kujipanga zaidi na pia wanaweza pata nafasi ya kusave their faces,especially kama walikuwa hawana mpango wa kuandamana katika Ukuta?Siku thelathini za maombolezo, hakuna mikutano ya kisiasa wala the like.