TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

Kama sijakosea Alama Mohamed Said na Faraj Tamim wana mchango mkubwa katika kitabu cha Abood Jumbe.

Ni mapema mno, tusubiri.
Maalim Faiza,
Hakika ni msiba mkubwa kwangu na Tamim kwani alikuwa mzee wetu
sana na mtu tuliyekuwanae karibu mno.

Walikuwapo katika kundi letu Prof. Hamza Njozi na Dr. Ramadhani
Dau
.

Mzee Jumbe alimpenda sana Tamim kwa ajili ya ile '' hard to imagine
exceptional intelligence'' yake aliyojaaliwa na Allah na Tamim alifanyakazi
kubwa sana ya uhariri wa kitabu cha Mzee Jumbe, ''The Partnership,''
zaidi akimzuia Mzee Jumbe abakishe baadhi ya mambo akimwambia,
Mzee Jumbe imetosha kuwa sisi tushayajua.

2016%2B-%2B1


Hii picha tulipiga mwaka wa 2000.
 
Ohhh my God. Na hiyo mikono imekuwaje tena? Aliugua wakaikata au ni sehemu ya adhabu? MTU mzima machozi yamenitoka. Unyama mkubwa sana. Rest in Peace Hero.
Mkuu, sio kwamba kuna kitu ameshika? mi sijaelewa hiyo picha
 
CCM wana roho mbaya sana, pamoja na kuwasaidia kuasisi chama chao bado walimuweka kizuizini. Too sad!
 
Mzee mohamed said..tunaomba utupe habari zaidi za mzee wetu marehemu abudi jumbe kwa sababu wewe ni mtu wake wa karibu nadhani kuna baadhi ya mambo alishindwa kuandika kwenye vitabu vyake..
Tutakukumbuka daima mzee wetu jumbe
 
Maalim Faiza,
Hakika ni msiba mkubwa kwangu na Tamim kwani alikuwa mzee wetu
sana na mtu tuliyekuwanae karibu mno.

Walikuwapo katika kundi letu Prof. Hamza Njozi na Dr. Ramadhani
Dau
.

Mzee Jumbe alimpenda sana Tamim kwa ajili ya ile '' hard to imagine
exceptional intelligence'' yake aliyojaaliwa na Allah na Tamim alifanyakazi
kubwa sana ya uhariri wa kitabu cha Mzee Jumbe, ''The Partnership,''
zaidi akimzuia Mzee Jumbe abakishe baadhi ya mambo akimwambia,
Mzee Jumbe imetosha kuwa sisi tushayajua.

2016%2B-%2B1


Hii picha tulipiga mwaka wa 2000.
Apumzike mzee wetu
 
WANAFIKI TUNAWASUBIRINI TUWASIKIE KWENYE TV N'A MAGAZETI.....

OVA
Ukiangalia kwa jicho la tatu kwenye ule wasia wake licha ya sababu za kidini yaani uislam swafi...amekataa yale manjonjo ya kuzikwa kwa heshima za kiserikali waweza kuta alikuwa anakataa unafiki watakao fanya wakati wa maziko..kwa sababu walimtenga sana kipindi yu hai
 
CCM wana roho mbaya sana, pamoja na kuwasaidia kuasisi chama chao bado walimuweka kizuizini. Too sad!
Jumbe hakua kizuizini, ameishi kwa Uhuru miaka yote akiwa mji mwema, akienda kokote anakotaka, Kuna wakati alisafiri kwenda arabuni, sijawahi kujua hii dhana ya kizuizini ililetwa na nani na watu wakaishupalia
 
Weee, acha tu...yule mzee baadhi yetu tulikuwa tunamfahamu angalau kidogo, na tunafahamu kilichotokea kwenye kikao kile cha NEC kule Dodoma...yaani binadamu ni wanafiki sana....Kama ni kweli amefariki Mungu amlaze Mahali pema peponi...nawapa pole wasaidizi wake ambao wamekuwa karibu naye since 1984...siwezi kuwataja majina hapa...na pia familia yake naipa pole...Watu ni wanafiki sana...Mungu ni Mkubwa siku zote...Ni kweli wanaweza wakaja humu bila aibu kusifia hiki na kile...tusubiri tuone...lakini inawezekana aliacha wosia...
Mkuu...tunaomba tuwajue hao wasaidizi wake waliokuwa wakimsaidia mzee wetu licha ya kuwa walibeba risk kubwa sana kufanya hivo kutoka kwa wale mahasimu wa mzee wetu..ambae licha ya maradhi alikuwa na umri mkubwa..tusaidie majins yao kwa maslahi ya wapenda haki
 
Rais ametuma salamu za rambirambi kwa WANANCHI wa Zanzibar?
Hivi suala la uraia si la muungano au? Kuna raia wa Zanzibar na wa wapi kwingine?
Anyways, pumzika vyema Mzee Jumbe
 
RIP Aboud Jumbe Mwinyi
Serikali imeanza unafiki wao
Ukiacha JK hawa wengine wote walikuwa bado wanamhesabu Mzee Jumbe kama mhaini
Walikuwa hawajawahi hata kumtembelea nyumbani kwake Mji Mwema
Sasa KAFARIKI ndiyo upendo unaongezeka
Mzee Mwinyi,Mkapa na Magufuli shame on you jinsi mlivyo m treat Mzee Jumbe
Jemedari Jumbe aliyekataa kukubali kila kitu toka kwa Nyerere
Serikali 3 ilimtesa sana Jumbe
Lkn hakubadili msimamo hadi anafariki dunia
Familia ya Jumbe impe Rais JK upendeleo maalum ktk mazishi yake
Ndiye Rais pekee wa TZ aliye onyesha anamuunga mkono Mzee Jumbe
 
Tamko la Ikulu limejumuisha lugha ya Kiarabu.

Ulimbukeni wa Mwafrika.
 
Back
Top Bottom