TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

Kustaafishwa ni "kielezi" tuu!! Suala ni aliwahi kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar: period!!
 
R . I .P , Mzee wetu .Poleni wafiwa wote..
 
mi mbona sielewi hicho kifungo? cha nyumbani ki vipi? Mwaka 2002 aliwahi kuja Geita kulikuwa na kongamano la kiislamu pale kwa muda wa siku mbili. Halafu kuna wakati alikuwa akivuka siku za Ijumaa kwenda kusali huko mjini.
Sina uhakika kuhusu hilo la kuja Geita,ila inasemekana atiwa kifungo cha nyumbani na Nyerere baada ya kuanza kudai serikali tatu badala ya hizi mbili. Hivyo alikamatwa na akazuiliwa nyumbani kwake pale kigamboni.Na polisi walikuwa wakipeana zamu kulinda pale kwake.
 
Mambo mengine yanashangaza kidogo - Si aliondolewa madarakani unceremonously, kawekwa kizuizini na kupoteza haki zake zote kama kiongozi wa Taifa, hivi inaingia akili kweli kwamba mnataka haki zake za Kitaifa zirudishwe akiwa marehemu! Mi nafikiri unataka kuleta utani kwenye majonzi ni kheri ungekaa kimya watu wangekuelewa kuliko kuwa so insensetive!!!
Hayo ya kuondolewa unceremoniously na kuwekwa kizuizini ndio kwanza nayasikia kwako. Point taken.
 
Sina uhakika kuhusu hilo la kuja Geita,ila inasemekana atiwa kifungo cha nyumbani na Nyerere baada ya kuanza kudai serikali tatu badala ya hizi mbili. Hivyo alikamatwa na akazuiliwa nyumbani kwake pale kigamboni.Na polisi walikuwa wakipeana zamu kulinda pale kwake.

Geita ni kweli, Mimi nilikuwepo kwenye hilo kongamano
 
mi mbona sielewi hicho kifungo? cha nyumbani ki vipi? Mwaka 2002 aliwahi kuja Geita kulikuwa na kongamano la kiislamu kwa muda wa siku mbili. Halafu kuna wakati alikuwa akivuka siku za Ijumaa kwenda kusali huko mjini.

muda wote huu wakuja Geita na Kuvuka maji wewe upo pembeni unamwanagalia? umemabiwa au umemuona akifanya hivyo?
 
Kama binadamu na yeye kuna mambo ya kishenzi aliyowafanyia wengine kwa sababu ya tamaa za mwili
 
RIP Mzee Aboud Jumbe, utakumbukwa kama Rais wa pili wa Unguja na Pemba baada ya mapinduzi.
 
Back
Top Bottom