Kaka
JF-Expert Member
- Nov 22, 2006
- 745
- 372
Mkuu hebu tupashe habari tafadhali!Mungu amlaze mahali pem peponi...sitasahau siku ile dodoma na tukiwa njian kurudi dsm..
Kaka ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hebu tupashe habari tafadhali!Mungu amlaze mahali pem peponi...sitasahau siku ile dodoma na tukiwa njian kurudi dsm..
Sina uhakika kuhusu hilo la kuja Geita,ila inasemekana atiwa kifungo cha nyumbani na Nyerere baada ya kuanza kudai serikali tatu badala ya hizi mbili. Hivyo alikamatwa na akazuiliwa nyumbani kwake pale kigamboni.Na polisi walikuwa wakipeana zamu kulinda pale kwake.mi mbona sielewi hicho kifungo? cha nyumbani ki vipi? Mwaka 2002 aliwahi kuja Geita kulikuwa na kongamano la kiislamu pale kwa muda wa siku mbili. Halafu kuna wakati alikuwa akivuka siku za Ijumaa kwenda kusali huko mjini.
Mkuu huyo mwanasheria akiitwa nani ? Na alifanywa nini baada ya hapo?Mzee Jumbe kupitia mwanasheria mkuu wa Zanzibar
Kustaafishwa ni "kielezi" tuu!! Suala ni aliwahi kuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar: period!!
Hayo ya kuondolewa unceremoniously na kuwekwa kizuizini ndio kwanza nayasikia kwako. Point taken.Mambo mengine yanashangaza kidogo - Si aliondolewa madarakani unceremonously, kawekwa kizuizini na kupoteza haki zake zote kama kiongozi wa Taifa, hivi inaingia akili kweli kwamba mnataka haki zake za Kitaifa zirudishwe akiwa marehemu! Mi nafikiri unataka kuleta utani kwenye majonzi ni kheri ungekaa kimya watu wangekuelewa kuliko kuwa so insensetive!!!
Sina uhakika kuhusu hilo la kuja Geita,ila inasemekana atiwa kifungo cha nyumbani na Nyerere baada ya kuanza kudai serikali tatu badala ya hizi mbili. Hivyo alikamatwa na akazuiliwa nyumbani kwake pale kigamboni.Na polisi walikuwa wakipeana zamu kulinda pale kwake.
R I P
huyu bwana mi nilidhani asha aga dunia kutambo
Alifichwa wap!!?
Nimeachwa kando tena mbali sana hakika!Aliyemfunga Jumbe kule mjimwema alikuja kumalizwa na 'mwanawe' aliyemtegemea kwa kumsimamia 'apite'. alimfyeka kama majani pamoja na kuwa mgumu kama 'ndago'
mi mbona sielewi hicho kifungo? cha nyumbani ki vipi? Mwaka 2002 aliwahi kuja Geita kulikuwa na kongamano la kiislamu kwa muda wa siku mbili. Halafu kuna wakati alikuwa akivuka siku za Ijumaa kwenda kusali huko mjini.