Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Nyie akili zenu ndio za kinafiki unataka isitangazwe kuwa siku ya kutofanya kazi? Hizo lawama mnazotoa mnauhakika kuwa hakuna viongozi wa serikali walioenda kumjulia hali?N'a siajabu ikawa siyo siku ya kazi,Ngoja utawasikiaaa wanafikiiiii wataanza
Je, kifo chake kinatokana na uzembe wa viongozi wa serikali? ACHENI MAWAZO HASI HATA KWA MAMBO YASIYOZUILIKA, KIFO HAKIWEZI KUZUIWA KAMA KIMEWADIA,
APUMUZIKE ANAPOSTAHILI.