DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,966
Kwani wewe muda wote huo ulimuongeleaje?Utasikia mapambioo n'a kuanza kumsifiaaa
Muda wote mlikuwa kimyaa..
Apumzike kwA amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe muda wote huo ulimuongeleaje?Utasikia mapambioo n'a kuanza kumsifiaaa
Muda wote mlikuwa kimyaa..
Apumzike kwA amani
Mmetumwa na lumumba kusambaza unafki sasatatizo wewe una miaka 22,Jumbe kaacha kusafiri baada maradhi ya utu uzima kumuingia,Ushahidi kaulize wanawe,MMoja ni mkurugenzi mkuu wa bandari Zanzibar sijui kama unamjua yupo serikalini,
Vp wanafki mshasogea msibaniKwani wewe muda wote huo ulimuongeleaje?
Hiyo miaka umenipangia wewe ukute ww ni mtoto wangu wa tano na huyo unaemtaja ameshaacha kazi serkalini muda mrefu sana mustafa jumbe anaitwa kama humjui nimekupa na jinatatizo wewe una miaka 22,Jumbe kaacha kusafiri baada maradhi ya utu uzima kumuingia,Ushahidi kaulize wanawe,MMoja ni mkurugenzi mkuu wa bandari Zanzibar sijui kama unamjua yupo serikalini,
Kwani kile kifungo chake kule Kigamboni kiliisha?
Duh kwani alikuwa kifungoni bado...
Muda wote mlikuwa wapi kuongelea hiko "kifungo"? Leo ndo mmeona muda muafaka?Walimsahauuu kabisa pale kigamboni ilikuwa totorooo tu maana hawawezi kwenda hakuna mchongooo.....utaanza wasikiaaa wanafki wakatavyoanza kutiw salam na wasifu wake
Wach,wanafki nendeni sasa huko msibani mkatie huruma oh mara mtasema kaacha pengo kubwa blah blahMje msibani na yule mzee wa "sawa sawa"
Utawasikia tuu wanavyo msifu.miaka yote hiyo wamemuweka kizuizini,siasa zetu hovyo kabisaaa
Hebu eleza ilikuaje Mkuu maana tunahadithiwa hali ya hewa ilichafuka hatujui ilichafukaje??Mungu amlaze mahali pem peponi...sitasahau siku ile dodoma na tukiwa njian kurudi dsm..
Inawezekana wewe umezaliwa Jana.Sidhani kama alikuwa kifungoni ila mzee yule nadhani alikuwa na matatizo ya macho...
Duh, ila kweli ccm imeshapata sababu ya kuzuia UKUTA, wanaweza weka maombolezo siku mia moja!!!!!. Marufuku mikutano ya kisiasa tu mingine iendelee.Siku thelathini za maombolezo, hakuna mikutano ya kisiasa wala the like.
unadhani wangekua wanaenda asingekufa? unadhani angeishi milele?Walimtenga had amekufaaa,rip