TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

tatizo wewe una miaka 22,Jumbe kaacha kusafiri baada maradhi ya utu uzima kumuingia,Ushahidi kaulize wanawe,MMoja ni mkurugenzi mkuu wa bandari Zanzibar sijui kama unamjua yupo serikalini,
Mmetumwa na lumumba kusambaza unafki sasa
 
tatizo wewe una miaka 22,Jumbe kaacha kusafiri baada maradhi ya utu uzima kumuingia,Ushahidi kaulize wanawe,MMoja ni mkurugenzi mkuu wa bandari Zanzibar sijui kama unamjua yupo serikalini,
Hiyo miaka umenipangia wewe ukute ww ni mtoto wangu wa tano na huyo unaemtaja ameshaacha kazi serkalini muda mrefu sana mustafa jumbe anaitwa kama humjui nimekupa na jina
 
Back
Top Bottom