Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Mkuu akielezea katika The Partnership kuna mambo mengi sana.mzee pumuzika kwa amani right mawazo yako yangefanyiwa kazi labda leo sintofahamu ya zanzibar isingekuwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu akielezea katika The Partnership kuna mambo mengi sana.mzee pumuzika kwa amani right mawazo yako yangefanyiwa kazi labda leo sintofahamu ya zanzibar isingekuwepo
Tumekupata.tunashukuru kwa taarifa mkuu.Hizi ni khabari za kweli na hazina shaka yoyote nikiripoti hapa mji mwema kigamboni kwa niaba ya jamii forum
Hiki kitabu the partnership kinapatikana wapi Mkuu??Mkuu akielezea katika The Partnership kuna mambo mengi sana.
Kimeisha leoKwani kile kifungo chake kule Kigamboni kiliisha?
Tunashukuru kwA kutuletea hii habari...Vp lkn wanafki hawajaanza kusogea hapo..nyumbani kwA marehemu maana Kuna mabingwa wa ku sign daftari la maomboleze...huku wanajifanya kutiw hurumaHizi ni khabari za kweli na hazina shaka yoyote nikiripoti hapa mji mwema kigamboni kwa niaba ya jamii forum
ilimsahau vipi wakati alipata stahiki zake kama makamu wa rais mstaafu,na rais mstaafu wa zanzibar?Yeah nafahamu alikuwa n'a matatizo ya macho
Ila serikali ilimsahau Ila kutokana n'a msibaa huu utasikiaaa sifa mbwembwe zote za kutiaa pole.....kama mimi ndiyo mwanafamilia au mtoto ah tunamzikaa kifamiliaa,msiba utakuwa lowprofile tu