Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Hivo alihukumiwa na mahakama au kitengo ???????!!!!!Kosa alilofanya akala kifungo cha maisha ndio kimeisha sasa yupo huru so anahaki ya kizikwa kitaifa na hali zake alizoitumikia nchi anastahili apate.. So kama sifa apewe na kama makosa yaachwe keshatumikia kifungo chake chote.... Sawa sawa Njile na kiteta...