Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulikaaa mlangoni kuona kama wanakwenda au hawaendiKweli mkuu unafiki kwa kwenda mbele, hata kumtembelea walikuwa hawaendi wakati ni hapo Kigamboni tu.
RIP mzee wetu mtakutana nao huko huko kwa hakimu wa Haki.
Yeah nafahamu alikuwa n'a matatizo ya macho
Ila serikali ilimsahau Ila kutokana n'a msibaa huu utasikiaaa sifa mbwembwe zote za kutiaa pole.....kama mimi ndiyo mwanafamilia au mtoto ah tunamzikaa kifamiliaa,msiba utakuwa lowprofile tu
Weee, acha tu...yule mzee baadhi yetu tulikuwa tunamfahamu angalau kidogo, na tunafahamu kilichotokea kwenye kikao kile cha NEC kule Dodoma...yaani binadamu ni wanafiki sana....Kama ni kweli amefariki Mungu amlaze Mahali pema peponi...nawapa pole wasaidizi wake ambao wamekuwa karibu naye since 1984...siwezi kuwataja majina hapa...na pia familia yake naipa pole...Watu ni wanafiki sana...Mungu ni Mkubwa siku zote...Ni kweli wanaweza wakaja humu bila aibu kusifia hiki na kile...tusubiri tuone...lakini inawezekana aliacha wosia...
Sidhani mkuu...alikuwa mkweli kivitendo na kinafsi...!Walimtenga had amekufaaa,rip
Hawatasema alitaka kuvunja muunganoAtapambwa had KWENYE magazeti yote na sifa kemkem,binadamu kwa unafiki,mtu mzuri akifa