TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

Kwani kile kifungo chake kule Kigamboni kiliisha?
Nafikiri kitakuwa kinaendelea, ah!, yaani Dunia!, mtu anamaguvu!, mbabe!, walinzi kila kona!, anafanya lolote alitakalo kwa saa yoyte ile na popote pale!, ila mwisho wa siku, utashangaa!, huwa mnyonge na upweke tele!, yaani, MUNGU ni mwema sana, ana huruma, msatahamilivu, msamehevu, amakweli DUNIA ni ya kila mtu, ameondoka aliyekuwa kiongozi ila aliyekuwa anaongozwa kabaki!, ila misho wa siku sote ni warejea kwake, nahii ndio inanifanya niamini km MUNGU yupo coz utakuwa utakavo kuwa ila kwake utarejea.

INAA-LILAH WAINAA-ILYHI RAJUUN.​
 
Nadhani kunajambo alisahau yakuwa alikuwa kiongoz na aliapa kuzikubali sheria na katiba huku akiwa ameshika Quran sasa nilazima ajuwe atazikwa kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi zakuwazika viongozi. RIP mzee
 
Masikini mzee wetu,Mungu amwangazie mwanga wa milele.Amina.
 
Nadhani kunajambo alisahau yakuwa alikuwa kiongoz na aliapa kuzikubali sheria na katiba huku akiwa ameshika Quran sasa nilazima ajuwe atazikwa kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi zakuwazika viongozi. RIP mzee
Unakiuka?!
 
mzee alisahaulika hata historia mashuleni ilikuwa haimtambui shujaa huyu,,,ccm watu wabaya sana
 
nilazima ajuwe atazikwa kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi zakuwazika viongozi. RIP mzee
Atakavyo zikwa usisahau kuleta mrejesho ili tuone ni lazima o si lazima, ila kiukwli huko anako kwenda ni kugumu kuliko anakotoka, nilazima ajitete mapema., haya ya dnia si lolote si chochote maana aliye tuleta alitupa uwezo wa kuyafanya na kuyaacha hapa hapa.​
 
Usimsahau na Maalim Seif Sharif Hamad.. Huyu hakustahili kutenda kile alichomtendea huyu Mzee

Naona Jamaa wa Usalama wamejaa sana hapa msibani. Ukiinua simu tu utatazamwa kama umeua mtu

Ha ha ha aha , Angalia hao wote waliokuzunguka karibia wote ndio hao.
 
Mkuu...tunaomba tuwajue hao wasaidizi wake waliokuwa wakimsaidia mzee wetu licha ya kuwa walibeba risk kubwa sana kufanya hivo kutoka kwa wale mahasimu wa mzee wetu..ambae licha ya maradhi alikuwa na umri mkubwa..tusaidie majins yao kwa maslahi ya wapenda haki

Comrade, tuvumiliane tu...haya mambo yana mipaka yake...Mzee Jumbe tumuombee apumzike mahali pema peponi...Najua nakukwaza lakini ndiyo hivyo...Not everything is for public consumption..
 
Watangaze kesho siku ya Mapumziko jamani....maana tumechoka na kibarua cha kuwahi kazini.
 
Back
Top Bottom