Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 653
Kumbe alikua yuko vyema sana.Aisee kaondoka komandoo,shushushu mbobezi na mlenga shabaha ambaye hajawahi rusha risasi iwe kwa pistol au bunduki akamkosa mtu sehemu yeyote aliyopania kulenga uuuu
Poleni JWTZ na Usalama Wa Taifa kumpoteza nguli wenu Wa ndani na nje ya nchi
Aisee
Om shanti shanti shanti
Mbrazil acha nyodo.Aina gani boss...! Hongera ingawa id mpya hata sijui ww nan!
🤣🤣🤣code nimeielewa haya boss...! All the bestMbrazil acha nyodo.
Mbona yupo musibaSasa nchi imepoteza! Asset kama hii unahitaji karne kupata nyingine ...[emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23].🤣🤣🤣code nimeielewa haya boss...! All the best
Ni maamuzi gani sahihi serikali inaweza chukua?
Waulize waalimu walioko nyumbani sababu ya Korona, watakupa masahibu ya kutoenda kazini.
HIZI NDIO HABARI ZINAZOLETA HOFU KWA WANANCHI
ZISITANGAZWE
Waterloo! Ume-panic ndugu yangu, jitulize kidogo maana unakoelekea, utakufuru! Hili ni janga, limetukumba wote, tupo hatarini, lakini tuki-panic hatutajenga chochote! Can I repeat? Tujitulize, tutafakari, alafu tuchukue hatua staiki, hata kama ni comment hapa!Atoke nje kuendelea na majukumu yake Kama kawaida. Akakague miradi ,ahudhuria mikutano yake ya mabaraza tuone Kama anaweza kufanya hivyo. Huwezi kuwaambia watu waendelee kujichanganya kuchapa kazi huku wewe umeji isolation. Huyu rais ni muuaji.
Huku hatujambo, bado tunachukua tahadhariMkuu ndiyo umewasili tokea sayari gani?
Wazima huko.
Cha kufanya kwa u sahihi kabisa kimeelezewa sana humu jamvini ukiwamo kwenye huu uzi.