TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia

Daaahh Pigo kubwa sana kwa Baraza LA Mawaziri,
Yaaani ni Waziri Pekee niliyekuwa na matumaini naye ktk kumshauri Magufuli.
Hakuwa MTU wakutetea tonge kama Kabudi,Alikuwa Mzee na kweli Alikuwa na Busara na Hekima.
Ni moja ya watu (viongozi)wachache ambao Tanzania ilipata bahati kuwa nao ktk Dunia hii.
Alale mahali panapo mstahili Mzee Mahiga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha majungu dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ngoma ikifika mwezi wa sita ndiyo kipindi cha serikali kutoa kafara, watu tutakufa zaidi ya Italy, ikifika mwezi wa sita UN itaingilia kati kuisaidia Tanzania...
 

Hakuna mamlaka itakayokulinda na corona. Nawa mikono. Tumia barakoa. Kaa nyumbani. Weka distance ya mita moja na zaidi. Hakikisha ukikohoa unaziba na tissue au koholea kwenye kiwiko. Hakuna la Ziada mkuu. Serikali kazi yake Ni kuimarisha huduma za Hospital.

Mkuu Punguza umbeya. Wajerumani wanamsemo „ Die Kirchen in Nachbars Garten schmecken immer ein bisschen süßer.“ Penda cha kwako na play your Part. Mna ugonjwa wa kutafuta sana matatizo kuliko furaha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee; unaleta siasa hata kwenye misiba kabla hata hujajua nini kimemkuta marehemu? Alikuwa anaingia miaka 75, zaidi ya umri wa watu wengine wengi waliotangulia ikiwa ni pamoja na Mwalimu Nyerere, Steve Jobs, Steven Kanumba na wengineo weng.Omboleza bila kuweka siasa, siyo kila baya linapotokea nchini ni kwa sababu ya serikali; mwishowe utalalamika kuwa mvua kunyesha au kutonyesha ni kosa la serikali pia.
 
Narudi zangu ndani, nanawa mikono, napaka sanitizer natulia. Siendi tena nje
 
Pole sana familia ya Mahigha. Binafsi nafahamiana wa watoto wake. Pumzika kwa amani mzee wetu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Tunapompigia kelele Magufuli achukue hatua za kuwalinda watanzania huwa mnatubeza sana na kutuita majina ya ajabu ajabu.
Ona sasa tunaomboleza!!!
 
Hii system chafu ya ccm mpaka iondoke ndipo tutajua ukweli wote kuhusu Tanzania halisi vinginevyo huu ukoo wa panya utaendelea kutufanyia mazingaombwe....
 
Yaani RIP waziri.Poleni familia.Nawaza kuna mahali nilituma ushauri kuwa raisi angezuia mukusanyiko isiyo ya lazima kama kanisani na misikitini ile pasaka ndio outbreak imeanza.Sasa let us swallow our pride now
 
Si Ulisikia CAG naye hali tete?
 
Huku Mtaani ambapo vifo ni vingi kuna nini au wao wanasitahili kufa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…